Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,158
- 144,685
Mwisho wa ubaya aibu!
Hakuna chama kisichopokea ruzuku kutokea kwa serikali ambayo ni ya wenye chama tawala. Kumbuka hilo.
Dr Mihogo alipata dili zuri akapata ubalozi Le profeseli kaishia kwa Kagame kaja kujizalilisha anang'ang'ania chama wamekuachia bado analialia tu mwambie laana haitamwacha salama.Hawkins chama kisichopokea ruzuku kutokea kwa serikali ambayo ni ya wenye chama tawala. Kumbuka hilo.
Jamaa hapaswi kabisa kusema maneno haya,maana muda si mrefu alisema kuwa maalim Sefu na wenzake inabidi wafukuzwe chamani.Sasa chakushangaza the same person analalamika ni kwanini maalim Sefu amehama chama! Heri kufa ukiwa umeacha fikra hai kuliko kuishi ukiwa na fikra zilizokufa.
Maalim Seif na Lipumba nani kaanza siasa mwanzo? Umri ?Dr Mihogo alipata dili zuri akapata ubalozi Le profeseli kaishia kwa Kagame kaja kujizalilisha anang'ang'ania chama wamekuachia bado analialia tu mwambie laana haitamwacha salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa mamlaka zinasubiri nini kumkamata huyu mzee na kumpeleka milembe " ... Au nimpaka aanze kung'ata watu mitaaniAkiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaHuyu mzee kama kachanganyikiwa Jana alisema kamfukuza Seif leo anasema kawasaliti kwa kuhama chama.
Hahahahahaha! Kunywa bia tank Kwa bill yangu wallahiila maprofesa wa Tanzania kwa kweli wameishusha sana hadhi ya uprofesa.
uprofesa wa Tanzania unatumika kuganga njaa.
uprofesa wa Tanzania hauna tofauti yoyote na umachinga au uwindaji sungura au umama lishe au uganga wa kienyeji!
Hil liprofeser bhana mara eeeh tumemfuta uanachama mara amesaliti....mim hata silielewi!!Akiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi watoto wa Prof. Ni akina nani? Tukiwajua huenda itasaidia kujua aina yake ya uongoziAkiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
Maalim kahama.Akiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si amesema amemfukuza? Huyu sasa anamfuatilia nini maalim na kampa chamaAkiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapewa zote fitoProfesele ni sawa na mwanamke aliyeomba talaka kwa chokochoko zake,haeishi kulalamika ukumtaka maalimu huyo umemuondoa kwa msaada wa ccm na msajili kwanini waweweseka si usubiri teuzi tu.Huna faida kwao Ccm watakutupa,ulishauriwa kaeni chini muyamalize ukusikia Leo mmegawana fito we baki na chama mwenzio kaondoka na wanachama,