Lipumba ana cheo gani ccm?

Lipumba ana cheo gani ccm?

DAWEMA

Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
31
Reaction score
11
Ndugu zangu Jpm alitangaza watanzania tuache siasa maana sasa ni kazi tu kwa kauli yake ya hapa kazi tu lakini ccm wanaonekana kubeba mzigo Wa mgogoro Wa CUF kwenye mikutano ya ndani na nje anayoendelea Nayo mwenyekiti Wa CUF anayetambuliwa tu na msajili Wa vyama vya siasa mikutano yake inalindwa lakini Jana tu polisi wakazuia mikutano ya maalim sef Sharif hamadi je ,who is lipumba in Ccm?
 
Ni mkuu wa kitengo maalum cha kuivuruga Ukawa, hadhi ya wadhifa wake ni zaidi hata ya KM.
 
Ndugu zangu Jpm alitangaza watanzania tuache siasa maana sasa ni kazi tu kwa kauli yake ya hapa kazi tu lakini ccm wanaonekana kubeba mzigo Wa mgogoro Wa CUF kwenye mikutano ya ndani na nje anayoendelea Nayo mwenyekiti Wa CUF anayetambuliwa tu na msajili Wa vyama vya siasa mikutano yake inalindwa lakini Jana tu polisi wakazuia mikutano ya maalim sef Sharif hamadi je ,who is lipumba in Ccm?
Rungu la Chama Mama!
 
Mikutano ya Ndani Hata lowasa anafanya mpwampwa ya nje amefanya wapi?
 
Mtazame lipumba toka kwenye mchakato Wa kuwatafuta wagombea urais
 
Naomba muwatambue Lipumba na mrema na zitto sio waponzani hawa hutumiwa na mfumo dolla kulinda maslahi yao hata ATC hawakuzuiliwa vikao vya ndani
 
Ndugu zangu Jpm alitangaza watanzania tuache siasa maana sasa ni kazi tu kwa kauli yake ya hapa kazi tu lakini ccm wanaonekana kubeba mzigo Wa mgogoro Wa CUF kwenye mikutano ya ndani na nje anayoendelea Nayo mwenyekiti Wa CUF anayetambuliwa tu na msajili Wa vyama vya siasa mikutano yake inalindwa lakini Jana tu polisi wakazuia mikutano ya maalim sef Sharif hamadi je ,who is lipumba in Ccm?


Kama cha Zito.
 
Lipumba ni katibu mwenezi wa CCM
Ni kweli , amechukua nafasi ya Nape aliyehamishiwa wizarani , lakini wadau wa lumumba wamedokeza kwamba pia ni mshauri wa uchumi wa ccm , wanamtumia kufufua mashirika yaliyokufa ikiwemo SUKITA na Gazeti la uhuru .
 
Analipia Pesa Aliyopewa Wakati Anakimbilia Rwanda Kabla Ya Uchaguzi Mkuu.
 
Ni kada wa Sisiem anayefanya kazi kwa maelekezo ya remote control za mtaa wa Lumumba na nyingine iliyopo KITENGO............
 
Back
Top Bottom