gundu unalo wewe Lipumba alijiuzulu kwa sababu mawazo yake aliona hayasikilizwi .Subir sasa kuhusu viti maalumu na ruzuku ndio utajua Lipumba alimaanisha nini.
miaka yote hiyo 20 hakukuwa na muungano kama huu wa ukawana pia Kumbuka kwamba UKAWA ilisisiwa na Lipumba na kama vigezo vya ukawa vingefuatwa tungepata zaidi ya majimbo 100 .Na ukawa wangetoa waziri mkuu