Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,555
- 17,949
Kukimbilia lami kumpungia kiongozi wa ccm akipita
Hii bado ipo sana vijijini,watu wanashinda juani kutwa nzima kusubiri viongozi wa kiserikali!
Kukimbilia lami kumpungia kiongozi wa ccm akipita
Kwenda chooni na bunzi la muhindi!
Nilishawahi nusurika kwenda na kipande cha gazeti kilichotoka kufungiwa pilipili kichaa iliyosagwa...Kwenda chooni na bunzi la muhindi!
SIJUI KAMA SIKU HIZI IPO HII!
1. Kupakwa GV kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa j2 tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa
'rangi mbili'
5. Kupamba kadi sebuleni
6. Ukumbi wa sherehe
kupambwa kwa toilet paper
7. Kunyolewa na mkasi
8. Kufunga pesa kwenye leso au
pindo la kanga
9. Kwenda kuangalia sinema za
Ukimwi na Lishe sokoni
10. Ku rewind kanda kwa peni
11. Ndala kuchemshwa ili
zisiishe
12.Kucheza umeshikilia kaptula
sababu mpira umekatika
13.Kuchonga penseli na meno
14. Kukata ndala, ati ni kifutio
15. Kunyolewa msalaba shuleni
kisa nywele ndefu
16. Wewe unakumbuka nini...?
Kuanika betri ya juani ili iongeze chaji!
umenikumbusha mbali aise....japo ni injinia mtarajiwa ila sio wa umeme! wengine tulikua tunasema ukilamba betri yenye chaji ulimi utakatika lol..kwa wale mainjinia wawa umeme, umeshawahi kulamba chaji ya betri mitaani? Umeshawahi kutumbukiza fungu la betri chooni kwa imani kwamba hazitaisha nguvu?
basi wewe umeruka steji!!! na lazima utaipitia hata ukiwamzee!!!!hakuna hata moja arifee
basi wewe umeruka steji!!! na lazima utaipitia hata ukiwamzee!!!!
MazoeaKukata kucha kwa kutumia meno
kwa wale mainjinia wawa umeme, umeshawahi kulamba chaji ya betri mitaani? Umeshawahi kutumbukiza fungu la betri chooni kwa imani kwamba hazitaisha nguvu?
Kwenda chooni na bunzi la muhindi!