Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
haaaaa hiyo sipendi sipendi sipendi..... Naweza kumng'ata
Unamng'ata wapi sasa au hapo hapo alipo kwepesa?
haaaaa hiyo sipendi sipendi sipendi..... Naweza kumng'ata
mie sitaki anibwagie manguo yake nifue.....kila mtu afue zake.
Hiyo mbaya sana, kukansel appointment wakati nimeishajiandaa!
sipendi tena ananikera saaana kuwa facebook au jf wakat mi nataka kusema nae......
mie sitaki anibwagie manguo yake nifue.....kila mtu afue zake.
Siau kunigeneralize na watu wengine wakati kosa linapottokea sipendi kabisagubu,kununa nuna,kiburi,sipendi kabisa sipendi kufananishwa au kulinganishwa na mtu yyte au
ukikutana na mtu mwenye gubu,kiburi,kununanuna mfano babaanaleta vitu kwenye gari anataka vikachukuliwe anasema hivi 'hebu nyie wanawake huko ndani tokeni mtoe vitu kwenye gari' yaaani kakujumlisha na hao h/gal kila kitu.lingine utasikia na wanawake wana hiyo tabia anakulinganisha na watu wake wazamani .ha! ally kombo mi sipendiDemu mmoja amenitesa sana na hiyo kitu aiseeh ! Yaani ananifanisha na mabwana zake wa zamanii, iliniuma saaana ! Halafu ana kiburi ile mbaya. Siku ya kumwaaga nilimuonyesha nina furaha sanaa, nikamletea keki kuuubwa nimeiandika 'thanks for your love !!' then baada ya hapo nikasepa jumla, no sms no call. Hakuamini, ila inataka moyo ooh hoo!
wangu anavaa gauni na suruali na sweta juu na kichwani anafunga kilemba kinafungiwa shingoni ,,,,,,,,,,,sipendi