Lipi Bora?

WOS,

Hapa sasa week end yangu umeanza kuharibika. Mke asiye na hatia anateketea na watoto wanaitwa OVCs. Very sad indeed! Tuendelee J3, ngoja niwahi wanangu!
Yah!! Ni kweli, nami ngoja niwahi ibadani, kwaresima kwa wale wanaojua majira tuelekee twachie keyboard sasa, ni wakati uliokubalika
 

haya yapo TZ au???? dah Mungu wangu, inaogopesha saana jamani, nini kifanyike sasa? inaogopesha
 
kwa kweli vitu ulivyoelezea hapa vimenifanya nishindwe hata kuendelea kula jamani,natamani nisiolewe wala nisiszae maana imagine una mtoto wako anafanyiwa haya... au mume wako unagundua kuwa ni shoga...ningekufa mie mwenzenu..na wala nisingeweza kuishi naye tena maana ningemuonea kinyaa..nasikia kulia mie mwenzenuuu..dunia yetu inatisha jamani..watu tumekuwa na mioyo ya ajabu..dada kweli kazi yako ngumu..mie ningekuwa nalia hadi nashindwa kuwajibika...hivi tufanyaje ili tuzuie hivi vitendo jamaniii.
 

Same difference. Kuna njia nyingi za kumuua paka. U can scoop out somebody's heart with a spoon or do it faster with a knife, kwa hiyo mwisho wa siku utakuwa umemuua mtu - kwa hiyo utauliza lipi bora?

Evil even dressed in makeup and most expensive clothes, better social standing will still smell.
 

Duh! Hii kali ya mwaka! Halafu ndio hao hao viongozi wetu tunaotegemea watajali maisha yetu na ya kizazi kijacho. Ndio maana US kiongozi akigundulika ana-cheat tu kwa mkewe wanamfukuza kazi!
 
Mmh.hakuna cha bora hapa.Zote ni ngono nje ya ndoa hivyo hakuna cha afadhali
 
Sipendi nigundue lolote kati ya hayo lakini linalovuka mipaka ni hilo la mme wangu kubebwa na mwanamme mwenzie loh ..unaweza kuchanganyikiwa !
 

Mpendwa siachi kupiga goti kila siku nakuombea kizazi changu kiwe cha heri na hekima ..mungu atunusuru na haya mabalaa...
 
Enough WoS!
Hili suala liishie hapa...mtu anayeendelea kuwaza chochote juu ya hili jambo ana shida!
 

Aisifie Mvuwa hapana shaka imemnyeshea.
 
Duh! Hii kali ya mwaka! Halafu ndio hao hao viongozi wetu tunaotegemea watajali maisha yetu na ya kizazi kijacho. Ndio maana US kiongozi akigundulika ana-cheat tu kwa mkewe wanamfukuza kazi!

Mbona Clinton hawakumfukuza?....

Halafu hii thread ilvyokaa bana... why u didnt give us more options🙄
 
Mbona Clinton hawakumfukuza?....

Halafu hii thread ilvyokaa bana... why u didnt give us more options🙄

Which other options would you suggest? 🙂
 
upi huo B??

Nimekumis......

Upande wa pili ndio upi huo? Fafanua!

mbona ivo tena mnakuwa maslow learner jamani...Lols

hapo wamezungumziwa wanaume, from a woman's perspective,
sasa labda na siye wanaume tukifind out..kipi bora, umkute yuko lesbo ama na mwanaume mwengine? kipi bora apo nadhani noname alitaka option hiyo
 

mie nimelala sana leo haya ndo matokeo yake........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…