Lipeni wakulima wa korosho

Swala la siasa ni gumu! Na lina hatua nyingi, na huna uwezo wa kudhibiti kupiga kura, kuhesabu, kutangaza matokeo, ni mtihani. Fuatilia chaguzi ndogo Arusha, liwale, n.k. utapata jibu.
 
Tatizo la korosho hakuna anayesema ukweli, serikali wanasifu juhudi zilizokwisha kufanyika halafu huku tena wananchi nao wanapiga mayowe ya kudhulumiwa. Nani yuko sahihi
Hilo halina mjadala, takwimu wanatoa wenyewe, na matamko ya kudhulumu korosho wanatamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…