Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,758
Nenda kule utume pombe acha udukuzi.
Andunje, ukiona mtu anapenda andunje naye ni andunje pia.Nani kama MESSI?
HAKUNAView attachment 964822
Wapi?sitakii naniliu arudi uniache kwenye mataaNenda kule utume pombe acha udukuzi.
Aende tim gani yenye hadhi kwake! Coz barca ndio tim pekee inayomfaa kuliko tim yeyote ulimwenguni...kwa mbaali RM. Waliobakia watamlipa nini? Na kama kukutana alishakutana na tim za epl mara nyingi, Bundes liga, ligue 1 and serie A na amewanyanyasa sana, sasa bado nini!!! Tim za amerika ya kusini pia ashakutananazo kazinyanyasa kama kawaida yake...
Andunje, ukiona mtu anapenda andunje naye ni andunje pia.
Kama unabisha weka picha!
Wapi?sitakii naniliu arudi uniache kwenye mataa
Ndiyo maana huwa tunatumia viagra.
AkuuNenda acha usumbufu.
Akuu
Ndiyo maana huwa tunatumia viagra.
Sikupendi
Sawa, kwani ulisikia kuna mtu ananipenda?Sikupendi
Haende kufanya nini?Teh teh teh
Haijalishi mkuu,ingekuwa ni vyema zaidi tu kama ningemuona na kwingineko ndio nipime vizuri ubora wake
Yah Ni kwer kwa upande mwengine inabd afanye hvo ....ni mchezaji mzuri lakin kwa Hispania tu................sabab timu yake inapotoka nje ya ligi hua anawakati mgumu wa kuposes mechi ...........................sometime anafichwa kabisa...inabidi aondoe mazoea ya big match kama real Madrid atletico Madrid sevilla Valencia.... Inabidi apate ushindani ndani ya ligi kwa bigmatch tofauti....namkubar jamaa lakin aje na uingeleza kidg Hata italy au ufalansa ............Germany kugumu....lakin akisalia Hispania ..basi katika historia ya mpira ukitaka kumwongelea mess inabidi uende Hispania ..........
Hahahaaaa aya bhana barca 1-1 Tottenham....Mafans wa Ronaldo mna tabu sana ...kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa King Messi akienda kwenye ligi ingine hawezi kuwika!!!? Mtu huyo huyo anazifunga tim zote bora zinazotoka kwenye hizo ligi ambazo unawaza kichwani mwako kuwa hawezi kuwika kwenye ligi hizo. Dah yani upofu mwingine wa ajabu sana hapa duniani hakuna ligi unayoijuwa wewe ambayo King akienda kucheza hawezi shine kama alivyo pale spain sema ni mambo tu ya kibiashara muajiri wake hataki kumuachia na anachokitaka mwenyewe anatimiziwa na pia yeye mwenyewe kuwa royal kwa tim yake...King si wa kawaida kamanda....msiwe mnapenda kumfananisha na wendawazimu. Sawa kamanda! Usiku mwema!
Haende kufanya nini?
Hakuna timu bora kama barca ambyo Messi anaweza kwenda kuchezea!
Hahahaaaa aya bhana barca 1-1 Tottenham....