Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

pao mkuu weka hizo command utaweza kuistall codeblocks itafanyakazi vizuri tu kwenye 16.04
Mkuu mwisho kabisa nimepata message ya
E: unable to locate package codebloacks
Nafanyaje hapo? Hii imetokea pia wakati na install latex
 
Mkuu mwisho kabisa nimepata message ya
E: unable to locate package codebloacks
Nafanyaje hapo? Hii imetokea pia wakati na install latex
Mkuuu kabla ya kuanza kuinstall natumai upo na internet
Update kwanza system
Code:
sudo apt-get update
ukishamaliza ndio uanze kuinstall hizo package(software)
 
Mkuu mwisho kabisa nimepata message ya
E: unable to locate package codebloacks
Nafanyaje hapo? Hii imetokea pia wakati na install latex

jaribu na kuanza na upgrade system yako....

sudo apt-get update

halafu weka tena hizo command za kuinstall code blocks..
 
jaribu na kuanza na upgrade system yako....

sudo apt-get update

halafu weka tena hizo command za kuinstall code blocks..
Ngoja nifanye hivyo nawapa mrejesho
Mkuuu kabla ya kuanza kuinstall natumai upo na internet
Update kwanza system
Code:
sudo apt-get update
ukishamaliza ndio uanze kuinstall hizo package(software)
 
jaribu na kuanza na upgrade system yako....

sudo apt-get update

halafu weka tena hizo command za kuinstall code blocks..
Ngoja nifanye hivyo nawapa mrejesho

Nimeona umeandika ulipoinstall Latex ulipata message hiyo hiyo,,,,inaonyesha kama unamiss some package kwenye system yako...

Jaribu kwanza ku enable repositories kwa kutumia command below

sudo add-apt-repository main
sudo add-apt-repository universe
sudo add-apt-repository restricted
sudo add-apt-repository multiverse

Ku-enable repositories unaweza kufanya kwenye "Ubuntu software" vile vile

halafu weka

sudo apt-get update

halafu install package ya codeblocks
 
Bado napata hiyo message
weka hizi command kwenye Terminal yako

sudo add-apt-repository main
sudo add-apt-repository universe
sudo add-apt-repository restricted
sudo add-apt-repository multiverse


halafu update system yako....
sudo apt-get update

halafu install codeblocks....
sudo add-apt-repository ppa:damien-moore/codeblocks-stable
sudo apt update
sudo apt install codeblocks

😉😉😉
 
Mkuu hizo zote zipo lakini naona bado kuna shida
 
Mkuu nadhani saizi nimefanikiwa maana ile message haijajitikeza, naomba kujua hii program ntaionaje sasa kuwa ipo
 
kweli mkuu.Nilijaribu ku install along side w10 nikajikuta nime format kila kitu kwenye pc
Huwa kuna sababu kwa nini watu serious huwa wanawalipa wataalam wawafanyie kazi. Sio kwa sababu ya utajiri, la hasha!

Pole sana. Hope haukuwa na critical data
 
Mkuu nadhani saizi nimefanikiwa maana ile message haijajitikeza, naomba kujua hii program ntaionaje sasa kuwa ipo
Sijafuatilia maongezi yenu ila jaribu kutafuta kwenye dash kama unatumia unity.

Press Windows key na dash itakuja. For more information... Google!
 
Sijafuatilia maongezi yenu ila jaribu kutafuta kwenye dash kama unatumia unity.

Press Windows key na dash itakuja. For more information... Google!
Sijakuelewa mkuu jaribu kueleza zaidi
 
Mkuu hizo zote zipo lakini naona bado kuna shida
mmmh sasa unapata error msg gani,maana error msg yako inaonyesha kuwa haziko enable kwa maana yake unapoweka commond ya kutaka ku-install package kama latex,au codeblocks inakuwa haiwezekani...
Mkuu nadhani saizi nimefanikiwa maana ile message haijajitikeza, naomba kujua hii program ntaionaje sasa kuwa ipo

Ok,,nenda kwenye "search your computer" option iko juu kabisa kwenye bar yako ilioko upande wa kushoto ,bonyeza halafu andika "c" au unaweza kuandika "code" au codeblock utaiona hiyo application right click and lauch 😀
 
Asante mkuu, ubarikiwe sana pamoja na mh. Mwaminifuhalisi
 
Asante mkuu, ubarikiwe sana pamoja na mh. Mwaminifuhalisi
Anytime mkuu,tuko pamoja,je unajua kuwa Ubuntu unaweza kuifanya ionekane kama MAC,.....vilevile jaribu ku-install apache web server ili upate kutest page zako na mambo mengine .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…