Link za majina ya bodi ya mkopo (Loan allocation list) 2012/2013

kuna vitu kama FACULTY REQUIREMENT / VITENDEA KAZI KWA KOZI ZA ENGINEERING NA ARU KUNA HIZI PESA HELA YA FIELD /PRACTICAL TRAINING KWA WALE WENYE FIELD KUANZIA MWAKA WA KWANZA

MARA NYINGI MCHANGUO WA HUO MKOPO HUWA UNAZINGATIA VITU HIVI
1. TUITON FEES AS PER MEANS TEST /( ASILIMIA YA ADA 100%,90%.. nk)
2.meals and accommodation hii iko flat rate kwa wote haina percent ( sijui ndio sh ngapi siku hizi..)
3. books and stationary allowance
4.practical training/teaching practice/ndio field hii na hii as per your means test yaani kutokana na grade yako ya mkopo
5.hela ya project/research hii wanapewa final year (3rd,4th year)
6.faculty requirement kuna kozi kama za engineering na science zinahitaji vitendea kazi kam drawing board ,calculator nk so mahesabu yanaenda kwa kuzingatia baadhi ya hivi vigezo au vyote..
KUMBUKA HIYO PESA NI LUMP SUM/ YAANI YA JUMLA NA MWAKA HUU SIJAONA HATA ILE COLUMN YA GRADE AMBAYO INGERAHISISHA SANA WATU KUELEWA

oya mwana una pc unichekie boom mkuu,f yes nikupm
 
kuna vitu kama FACULTY REQUIREMENT / VITENDEA KAZI KWA KOZI ZA ENGINEERING NA ARU KUNA HIZI PESA HELA YA FIELD /PRACTICAL TRAINING KWA WALE WENYE FIELD KUANZIA MWAKA WA KWANZA

MARA NYINGI MCHANGUO WA HUO MKOPO HUWA UNAZINGATIA VITU HIVI
1. TUITON FEES AS PER MEANS TEST /( ASILIMIA YA ADA 100%,90%.. nk)
2.meals and accommodation hii iko flat rate kwa wote haina percent ( sijui ndio sh ngapi siku hizi..)
3. books and stationary allowance
4.practical training/teaching practice/ndio field hii na hii as per your means test yaani kutokana na grade yako ya mkopo
5.hela ya project/research hii wanapewa final year (3rd,4th year)
6.faculty requirement kuna kozi kama za engineering na science zinahitaji vitendea kazi kam drawing board ,calculator nk so mahesabu yanaenda kwa kuzingatia baadhi ya hivi vigezo au vyote..
KUMBUKA HIYO PESA NI LUMP SUM/ YAANI YA JUMLA NA MWAKA HUU SIJAONA HATA ILE COLUMN YA GRADE AMBAYO INGERAHISISHA SANA WATU KUELEWA

Nimekupata vilivyo kaka, nadhani watatoa maelezo zaidi
 
Hii ndio jamii forum,hatufanyi kazi ya ku like mawazo ya kipuuzi kama facebook,huku kazi ni moja tu kuonesha vitendo wala si ku tag picha,tunaelimisha jamii wala hatuna habari na mtu,INSHALLAH Mubarikiwe ninyi mliofanya mtokeo haya kuwa hewani kwenye forum za wasomi...
 
NAOMBA CLICK HIZI LINK TAFADHALI NAJITAHIDI KU UPLOAD KADIRI NTAKAVYOWEZA ILA USHAURI MNGESUBIRI BAADAE MAANA WEBSITE YA LOAN BOARD IKO CHINI MAANA WATUMIAJI WAMEZIDI KIPIMO KWA SASA..

Nimejitahidi kuupload link karibia zote kama utakuwa na PC itakuwa vyema sana najua watu mnatumia simu itawasumbua hii kuscroll
nafikiri hii ni njia bora kuliko kupitia website ya loan board kwa sasa maana watumiaji ni wengi sana mpaka watakapopungua..

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-asilimia-za-kila-mwombaji-2.html#post4658296

HII LINK NDIO INA 1: 2012/13 Loans Allocations List 1-A (AK -DU)

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/325873-hatimae-bodi-ya-mikopo-yaweka-majina-na-asilimia-za-kila-mwombaji-2.html#post4658399

HIZI NDIZO LINK ANGALIA NAONA WAMEWEKA KWA VYUO KWA HIYO CHEKI CHUO CHAKO ULIKUWA ADMITTED CLICK LINK ANGALIA
1: 2012/13 Loans Allocations List 1-A (AK -DU)

6: 2012/13 Loans Allocations List 4-A (SU - TU)

7: 2012/13 Loans Allocations List 4-B (TU -UDOM)

8: 2012/13 Loans Allocations List 5-A (UDOM -UDOM)

9: 2012/13 Loans Allocations List 5-B (UDOM -UDSM)

9: 2012/13 Loans Allocations List 6 (UDSM -ZU)

hi link ya DU-IM,mbona haifunguki ama ni kwangu tu
 
Jaman mci2kane...mzigo upo bt bt bado kutolewa...thn njie wa non priority mxihofu xana coz washkaj zangu kibao wamepata % xafi 2...kama unataka kujua hatima yako we n PM ful name yako thn mi nakuchekia coz npo hukuhuku jikon...thn xkulazmish uamin

mkuu na ku PM unichekie mimi sioni
 
we acha utani na maisha ya wa2.we unajiita mjanja,funga bakuli lako:baby:au ongea mambo ya maana.wanajamii mnisaidie mbona HESLB haifunguki?
 
Tangu jana nahangaika jnsi ya kudownload ajina ya UDOM, kama kuna mtu kesha yadownload plizzz atuwekee hapa kama link bnafsi bila kupitia bodi ili tuyasome.
 
[h=1]Bandwidth Limit Exceeded[/h] The server is temporarily unable to service your request due to the site owner reaching his/her bandwidth limit. Please try again later.
 
Back
Top Bottom