Nimekuelewa. Ajira ni janga la taifa. Hata hao walioajiriwa wanalilia mshahara. LAKINI endelea kupambana na maisha Mungu anaweza kukufungulia njia ukajiajiri na kujipatia kipato cha kukusogezea siku. Maadam ulizikosa zile 5m si ajabu kukosa hata hizo 8m kama zitakuwepo. Usibweteke ukazisubiriiiii weeeeee utakuta mwana si wako!
Usikate tamaa... fikiria na pambanana!