Nanukuu .. hii ni ya mwaka 2017 toka FinScope TanzaniaWakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako. Isaya 4:1
Haha..yani umenikumbusha rafiki angu mmoja hivi juzi kati kakopa mkopo bank kama mil4 hivi..mil3 kampa bwana ake akamtolee mahariImeshafika...huoni wadada wanavyopata tabu sana kusaka waume wa kuwaoa...
Wanahama makanisa kutafuta waume...