Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,139
- 162,536
Mimi naomba kama yupo mwwnye majibu anisaidie.
Kama tuliambiwa "tunademka" na kwamba "kifo ni kifo" na hujwahi omba radhi kwa kauli za aina hiyo huku ukisema wewe ni "chura kiziwi' , sasa logic ya kufanya maridhiano inatoka wapi?
Mwenye majibu tafadhali.
Kama tuliambiwa "tunademka" na kwamba "kifo ni kifo" na hujwahi omba radhi kwa kauli za aina hiyo huku ukisema wewe ni "chura kiziwi' , sasa logic ya kufanya maridhiano inatoka wapi?
Mwenye majibu tafadhali.