Hivi inakuaje mkuu wa mamlaka hajiuzulu kama agizo lake linawekwa kando na aliyempa dhamana? Ina maana hakujiridhisha ni watanzania wangapi wana hivyo vitambulisho au alitaka kupima reaction ya wananchi ? Muda Wenyewe Ni Mfupi mbona wananchi wengi wengi wangefungiwa kupata huduma kama wangeazimia kutekeleza kusudio lao. Mapato Yangeshuka Hasa Makampuni Ya Simu. Halafu Kusajili Laini Moja Itakuwa Ni Kero ya mawasiliano kwani makampuni yanatofautiana coverage network maeneo mengi nchini hususani vijijini. Ndio maana watu wanasajili laini zaidi ya moja ili wawe na uhakika wa mawasiliano popote nchini hususani upatikanaji wa internet. Kusajili laini moja itakuwa kero, wananchi wajisali kwenye mitandao ya simu zaidi ya mmoja wanakopata huduma wazihitajizo kwa maendeleo yao