Line ya Halotel ya chuo.

Line ya Halotel ya chuo.

kwa kasi ya internet halotel ipo vizuri sana , hata ukiwa safarini network unaipata vilivyo,
 
Ofcuz znasaidia japo sielew y wanaziita line za chuo ilihali hata wa darasa la saba tunatumia..
Lastly, naomba namba ya wifey nimsalmie
 
Ofcuz znasaidia japo sielew y wanaziita line za chuo ilihali hata wa darasa la saba tunatumia..
Lastly, naomba namba ya wifey nimsalmie
waache watumie tu baada ya miaka 3 watakuta majina yao kwenye wadaiwa SUGU wa bodi ya mikopo
 
d02aad2097bc6c6e79d6c443e5c81b9f.jpg


Pole sana.
Karibu tigo university kwa buku 3 tu ya kifurushi cha kwanza na registration baada ya hapo kifurushi ni 1500 kwa wiki.
130mins tigo-tigo
Unilimited sms's
1gb of data
unajiregister wapi au ndio mpaka chuoni
 
Habari.
Wakuu kutokana na hali ya maisha kuzidi kuwa tight na mitandao ya simu kuzidi kupunguza MB naomba mnielekeze namna ya kupata line ya Halotel ya chuo ili niweze kupata university offer.
Kaka kwanin usitafute line ya Airtel ambayo sio ya chuo?mimi natumia line ya Airtel ambayo sio ya chuo,tiGO, Vodacom na Halotel ya chuo lakin Airtel pia ni rahis mno ila itakubid uweke Salio kwenye Airtel money ndo ununue kifurushi.Piga *150*60# chagua namba 6 hapo utaona kuna vifurushi mbali mbali vya chuo.
 

Attachments

  • IMG_20170125_123255.jpg
    IMG_20170125_123255.jpg
    63.1 KB · Views: 34
  • IMG_20170125_123212.jpg
    IMG_20170125_123212.jpg
    69.8 KB · Views: 39
Back
Top Bottom