wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Mbona umefunga inboxmmmh
Mbona umefunga inboxmmmh
Ebu nicheck bas inboxmmmh
sina funguoEbu nicheck bas inbox
imefungwaMbona umefunga inbox
Bora unifukuzie mimi nilishabemendwa kitambo labda nikubemende wewenaogopa kukubemenda
hahahaha...ulishabemendwa kitambo??? utakua na nguvu kweli???Bora unifukuzie mimi nilishabemendwa kitambo labda nikubemende wewe
Kumbe ndiyo maana unapata jeur ya kuita watu inbox ukijua ulicho kifanya sio??imefungwa
haha hapana sio mimi ni modsKumbe ndiyo maana unapata jeur ya kuita watu inbox ukijua ulicho kifanya sio??
Fanya mpango bas tuwasilianehaha hapana sio mimi ni mods
hahaha unazoom weweeeeeImenibidi nikahakikishe.![]()
waache watumie tu baada ya miaka 3 watakuta majina yao kwenye wadaiwa SUGU wa bodi ya mikopoOfcuz znasaidia japo sielew y wanaziita line za chuo ilihali hata wa darasa la saba tunatumia..
Lastly, naomba namba ya wifey nimsalmie
unajiregister wapi au ndio mpaka chuoni![]()
Pole sana.
Karibu tigo university kwa buku 3 tu ya kifurushi cha kwanza na registration baada ya hapo kifurushi ni 1500 kwa wiki.
130mins tigo-tigo
Unilimited sms's
1gb of data
Kaka kwanin usitafute line ya Airtel ambayo sio ya chuo?mimi natumia line ya Airtel ambayo sio ya chuo,tiGO, Vodacom na Halotel ya chuo lakin Airtel pia ni rahis mno ila itakubid uweke Salio kwenye Airtel money ndo ununue kifurushi.Piga *150*60# chagua namba 6 hapo utaona kuna vifurushi mbali mbali vya chuo.Habari.
Wakuu kutokana na hali ya maisha kuzidi kuwa tight na mitandao ya simu kuzidi kupunguza MB naomba mnielekeze namna ya kupata line ya Halotel ya chuo ili niweze kupata university offer.
Mpaka utaomba pooohahahaha...ulishabemendwa kitambo??? utakua na nguvu kweli???