Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,033
- 9,923
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imetahadharisha mikoa ya mwambao wa Bahari ya Hindi hasa mikoa ya Lindi na Mtwara kuhusu kimbunga cha Jobo ambacho kipo kaskazini mwa Madagascar
Kimbunga kitasababisha ongezeko la upepo na mawimbi katika bahari ya Hindi. TMA wanaendelea kufuatilia kuangalia uelekeo wa kimbunga hicho
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari ya upepo na mawimbi iliyotolewa na TMA.
Kimbunga kitasababisha ongezeko la upepo na mawimbi katika bahari ya Hindi. TMA wanaendelea kufuatilia kuangalia uelekeo wa kimbunga hicho
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari ya upepo na mawimbi iliyotolewa na TMA.