Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
😅😅Huyu mtoto ameanza ushenzi mapema sana. Miaka 13!!! Akifikisha miaka 18 inabidi atafutiwe viza ya kwenda kuishi kwa babu yake Joe Biden.
😅😅Huyu mtoto ameanza ushenzi mapema sana. Miaka 13!!! Akifikisha miaka 18 inabidi atafutiwe viza ya kwenda kuishi kwa babu yake Joe Biden.
Mungu njoo utuponye na roho hawa wachafu,Medusa why you opened the Pandora boxMwanafunzi (13) wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Maguja, Wilaya ya Ruangwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzake wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Likangara.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo, Foka Dinya alisema mtuhumiwa anadaiwa kufanya kitendo hicho Februari 5 saa tano mchana.
Alisema kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo kumetokana na baba wa mtoto anayedaiwa kufanyiwa kitendo hicho kumbaini kijana wake akiwa amekosa uchangamfu na kutembea kwa shida.
Dinya Alisema mtoto huyo alipouliza akaeleza kile alichofanyiwa na mwenzake.
Alisema kutokana na maelezo ya baba wa mlalamikaji, alilazimika kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi kisha mtuhumiwa akakamatwa na kufanyiwa mahojiano.
Alisema mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani baada ya kukamilika kwa taratibu za kiupelelezi.
Sasa unamfungaje mtu aliye tenda tendo kipindi hajitambui kiakilimpaka uchunguzi umalizike dogo atakua kafikisha miaka 18-20+ na ndipo atafungwa
aya mambo yanawezakana africa hususani Tanzania ya jiweSasa unamfungaje mtu aliye tenda tendo kipindi hajitambui kiakili
Ipo...Hivi Tanzania tuna jela za watoto wadogo kama huyu?
Tatizo ni Lissu na machadema kuhalalisha ufrj eti ni haki za binadamu.Mwanafunzi (13) wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Maguja, Wilaya ya Ruangwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzake wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Likangara.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo, Foka Dinya alisema mtuhumiwa anadaiwa kufanya kitendo hicho Februari 5 saa tano mchana.
Alisema kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo kumetokana na baba wa mtoto anayedaiwa kufanyiwa kitendo hicho kumbaini kijana wake akiwa amekosa uchangamfu na kutembea kwa shida.
Dinya Alisema mtoto huyo alipouliza akaeleza kile alichofanyiwa na mwenzake.
Alisema kutokana na maelezo ya baba wa mlalamikaji, alilazimika kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi kisha mtuhumiwa akakamatwa na kufanyiwa mahojiano.
Alisema mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani baada ya kukamilika kwa taratibu za kiupelelezi.
Pole mkuu...! Ila mashuleni kwa sasa haya mambo yapo sana, kuna shule ipo sehemu ambayo ndo wanafanyia mambo hayo hao watoto wanapaita mzizi wa laana..! Huyo mwalimu ningemfata na kumpa makavu live ili ajue nimejuaMwanafunzi wa miaka 13 hawezi mlawiti mwanafunzi mwenzake mpaka akashindwa kutembea. Hii kesi ni ya kuchunguza naomba nitoe my personal experience on such a case.
Nilipokuwa darasa la pili nilisingiziwa kubaka mapacha tuliokuwa tukisoma pamoja na kukaa dawati moja.
Nilishangaa asubuhi nafika shuleni naitwa officini na kuanza kupigwa mboko. Nilikuwa mdogo siwezi jitetea wala kujieleza.
Hii kitu ilisinumbua sna mpaka namaliza darasa la saba zile siku za mwishoni sababu tuliendelea kuwa marafiki ilinibidi nimuulize mmoja wao nini kilitokea na kwanini walinisingizia.
Yule pacha mmoja alinieleza ukweli kuwa walifanywa ivyo na mwalimu wao wa tuition ambaye navyoandika hivi sasa ni mwalimu mkuu wa iyo shule leo hii. Walidai mwalimu aliwatisha sana so hawakuweza msema. Na wazazi wao alipowaleta kwa uyo mwalimu aliwaambia lazima itakuwa ni mimi ambaye huwa nao muda wote wanapokuwa shule.
Na huyu mwalimu ndye aliyenichapa sana mbele ya shule na wazazi wa wale mapacha.
Mpaka leo huwa najiuliza hata hawa wazazi hawakuweza kutafakari uwezzekano wa mtoto mmoja kubaka watu wawili?
So back to this case, mi nashaur uchunguzi ufanyike.
Yani mpaka namaliza darasa la saba huyu mwalimu alikuwa na scandle nying za kutembea na wanafunzi na hii aliweza kufanikisha sababu alikuwa akiishi hapo hapo shuleni na kuendesha masomo ya jioni. Sasa sipati picha kinachoendelea hivi leo maana ndyo mwalimu mkuu na inasemekana ana VVU. Mke wake kashakufa kwa VVU.Pole mkuu...! Ila mashuleni kwa sasa haya mambo yapo sana, kuna shule ipo sehemu ambayo ndo wanafanyia mambo hayo hao watoto wanapaita mzizi wa laana..! Huyo mwalimu ningemfata na kumpa makavu live ili ajue nimejua
Hakuna cha medusa hapo!Mungu njoo utuponye na roho hawa wachafu,Medusa why you opened the Pandora box
Watu wa namna hii wanachafua sana walimu na kuonekana watu wa hovyo...Yani mpaka namaliza darasa la saba huyu mwalimu alikuwa na scandle nying za kutembea na wanafunzi na hii aliweza kufanikisha sababu alikuwa akiishi hapo hapo shuleni na kuendesha masomo ya jioni. Sasa sipati picha kinachoendelea hivi leo maana ndyo mwalimu mkuu na inasemekana ana VVU. Mke wake kashakufa kwa VVU.
Hakuna cha medusa hapo!
Huyu ni mtoto tu ambaye balehe inamsumbua.
Anachohitaji ni kuelekezwa na kuonywa, au hata ikibidi kupatiwa msaada wa kisaikolojia (sexual therapy).
Maana hamchelewi ninyi kumpeleka kwa waganga wa kienyeji na kumfunga mahirizi.
Ati ohhh kiama kimewadia! Mara sijui amevamiwa na jini medusa!
Kichwa kama medusa!
Ate that age brotherHakuna cha medusa hapo!
Huyu ni mtoto tu ambaye balehe inamsumbua.
Anachohitaji ni kuelekezwa na kuonywa, au hata ikibidi kupatiwa msaada wa kisaikolojia (sexual therapy).
Maana hamchelewi ninyi kumpeleka kwa waganga wa kienyeji na kumfunga mahirizi.
Ati ohhh kiama kimewadia! Mara sijui amevamiwa na jini medusa!
Kichwa kama medusa!