Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Mada hii itakuwa na 'Updates' za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Lindi. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.
Ramani ya Mkoa wa Lindi
HISTORIA YA MKOA WA LINDI
Mwaka 1961 wakati Tanganyika inapata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Mkoa wa Lindi haukuwapo kabisa katika ramani. Kilichokuwapo wakati huo ni Jimbo la Kusini ambalo lilijumuisha Mikoa ya sasa ya Lindi Mtwara na Ruvuma. Makao Makuu ya Jimbo hilo la Kusini yalikuwa katika Mji wa Lindi. Hadhi ya Mji wa Lindi kuwa Makao Makuu iliishia mara baada ya Uhuru ambapo Jimbo la Kusini likawa linajulikana kama Mkoa wa Mtwara. Makao Makuu yakawa ni Mji wa Mtwara. Yamkini Mkoa wa Mtwara ulikuwa mkubwa sana kwa eneo hata Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mtwara Bwana John Nzunda alikuwa anasema:
“Natawala kipande cha nchi toka Pwani ya Bahari ya Hindi hadi Ziwa Nyasa na kutoka Mto Ruvuma hadi karibu na mto Rufiji.” Serikali wa awamu ya kwanza Iliyoongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliugawa Mkoa wa Mtwara miaka ya mwanzo ya Uhuru ambapo kukawa na Mikoa ya Mtwara na Ruvuma. Mgawanyiko huu uliifanya Lindi kuwa ndani ya Mtwara.
Julai 1, 1971 ndipo Mkoa wa Lindi ulianzishwa rasmi baada ya tena kuugawa Mkoa wa Mtwara. Makao Makuu ya Mkoa yakawa Mji wa Lindi. Wakati Tanzania inaadhimisha Miaka 10 ya Uhuru wa Bara kwa kuwaita Waingereza kuja kuiona hatua iliyopiga Mkoa ulikuwa na umri wa miezi 6 tu.
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Lindi una jumla ya majimbo nane (8) ambayo yote yana wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
MAJIMBO YA MKOA WA LINDI
MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA YA MKOA WA LINDI SOMA
- LGE2024 - Lindi: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Januari
Julai
- GE2025 - Msimamizi wa uchaguzi Ruangwa atoa wito kwa vyombo vya habari kuzingatia maadili ya taaluma
Novemba
- Mchinjita: Lindi Mjini, vijana wa CCM walitumika kupiga na kuteka mawakala wetu, kuchoma nyumba zao
Ramani ya Mkoa wa Lindi
HISTORIA YA MKOA WA LINDI
Mwaka 1961 wakati Tanganyika inapata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Mkoa wa Lindi haukuwapo kabisa katika ramani. Kilichokuwapo wakati huo ni Jimbo la Kusini ambalo lilijumuisha Mikoa ya sasa ya Lindi Mtwara na Ruvuma. Makao Makuu ya Jimbo hilo la Kusini yalikuwa katika Mji wa Lindi. Hadhi ya Mji wa Lindi kuwa Makao Makuu iliishia mara baada ya Uhuru ambapo Jimbo la Kusini likawa linajulikana kama Mkoa wa Mtwara. Makao Makuu yakawa ni Mji wa Mtwara. Yamkini Mkoa wa Mtwara ulikuwa mkubwa sana kwa eneo hata Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mtwara Bwana John Nzunda alikuwa anasema:
“Natawala kipande cha nchi toka Pwani ya Bahari ya Hindi hadi Ziwa Nyasa na kutoka Mto Ruvuma hadi karibu na mto Rufiji.” Serikali wa awamu ya kwanza Iliyoongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliugawa Mkoa wa Mtwara miaka ya mwanzo ya Uhuru ambapo kukawa na Mikoa ya Mtwara na Ruvuma. Mgawanyiko huu uliifanya Lindi kuwa ndani ya Mtwara.
Julai 1, 1971 ndipo Mkoa wa Lindi ulianzishwa rasmi baada ya tena kuugawa Mkoa wa Mtwara. Makao Makuu ya Mkoa yakawa Mji wa Lindi. Wakati Tanzania inaadhimisha Miaka 10 ya Uhuru wa Bara kwa kuwaita Waingereza kuja kuiona hatua iliyopiga Mkoa ulikuwa na umri wa miezi 6 tu.
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Lindi una jumla ya majimbo nane (8) ambayo yote yana wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
MAJIMBO YA MKOA WA LINDI
Jimbo la Kilwa Kusini
Jimbo la Kilwa Kaskazini
Jimbo la Mtama
Jimbo la Lindi Mjini
Jimbo la Mchinga
Jimbo la Nachingwea
Jimbo la Liwale
Jimbo la Ruangwa
UPDATES
- Kuelekea 2025 - Gerson Msigwa: Serikali yawahakikishia wananchi Uchaguzi Huru na wa Haki 2025MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA YA MKOA WA LINDI SOMA
- LGE2024 - Lindi: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Januari
- Lindi: Wapiga kura wapya 121,187 watarajiwa kushiriki kwenye Uchaguzi mkuu mwaka 2025
- Lindi: Mkuu wa wilaya ya Nachingwea aboresha taarifa zake kwenye daftari la kudumu la mpiga kura
- Lindi: ACT Wazalendo walalamikia mchakato wa uandikishaji daftari la mpiga kura. Wasema hawajashirikishwa
- Lindi: Viongozi, Wananchi wajiandikisha daftari la mpiga kura, wahamasisha wananchi kujitokeza
- UVCCM Lindi: Vijana acheni kuwa madalali wa wagombea, wanaofanya kampeni kampeni kabla ya muda kukiona
- Mwenyekiti Halamshauri ya Wilaya ya Nachingwea: Rais Samia ameboresha maisha ya wananchi wa Nachingwea
- DC Nachingwea awaonya wahandisi miradi kujengwa chini ya kiwango
- Maimuna Pathan akabidhi milioni 2 kusaidia ujenzi wa nyumba ya mtumishi UWT na Mitungi ya Gesi 68 kwa Wakazi wa Liwale
- Lindi: Zaidi ya watu 120,000 wanufaika Samia Legal Aid
- Lindi: Mbunge wa Viti Maalum achangia bati 90 ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Nachingwea
- Wakili Mpanju: Wanawake mjitokeze kugombea nafasi za uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu
- Salma Kikwete: Wanawake tusifanye ajizi, rafiki wa mwanamke ni mwanamke. Tupige kura za kihistoria kwa Rais Samia
- Mbunge Maimuna Pathan agawa mitungi ya gesi kwa wanawake wilaya ya Liwale
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa Milioni 4 kwa wanafunzi wa Nachingwea Girls
- Waziri Mkuu, Majaliwa agawa mitungi ya gesi kwa wanawake 3000 kuhamasisha nishati safi
- DC Victoria Mwanziva: Lindi tumepokea TSh. bilioni 82 tangu Rais Samia aingie madarakani za miradi mbalimbali ya maendeleo
- UWT Lindi wamshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa Shule ya TSh. Bilioni 4.1
- Viongozi wa dini watoa elimu ya Uraia kuhamasisha ushiriki wa Uchaguzi 2025
- Ado Shaibu: Tukikaa kimya CHADEMA ikiumizwa, tutafuata sisi ACT
- Bilioni 86 zaimarisha maendeleo Lindi chini ya uongozi wa Rais Samia
- Lindi: ACT Wazalendo yasema inapigania kurejeshwa kwa thamani ya kura kwenye Uchaguzi
- CCM yapokea Wanachama wengine zaidi ya 70 kutoka CUF, wakiongozwa na Vedasto Ngombale
- Makalla: CHADEMA wameogopa kuingiza timu uwanjani uchaguzi mkuu
- Amos Makalla: Mwaka huu CHADEMA wamepumzika, Kama hawatoshiriki uchaguzi watashiriki mwaka 2030
- Nape Nnauye awaonya CHADEMA 'Kuweni na adabu kwa Rais Samia'
- CCM yapokea Wanachama wengine zaidi ya 70 kutoka CUF, wakiongozwa na Vedasto Ngombale
- Amos Makalla: Chadema mliojiandikisha muda ukifika chagueni CCM
- Katibu Uenezi CCM Amos Makalla: CHADEMA wanapumzika wamechoka huu mwendo hawauwezi na sisi tumewakubalia
- Makalla: CHADEMA hawatakuwepo kwenye uchaguzi, Asije akawadanganya mtu eti watakinukisha, akanukishe yeye na familia yake
- Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti
- TEC: Watu wasipochagua kwa Uhuru Demokrasia itakufa, wananchi wasiporwe nguvu yao ya kupiga kura na kuchagua
- Isihaka Mchinjita achukua fomu nia ya Ubunge Lindi Mjini
- Lindi: Wanachama 50 wa ACT Wazalendo, watimkia CCM kwenye mkutano wa Amos Makalla
- Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia hapaswi kupata shida sisi tukiwepo
- Wana CCM Ruangwa wamuahidi Rais Samia mitano tena
- Majaliwa asema Ruangwa ndiyo waanzilishi wa neno 'Mitano tena'
- Nassoro Ngoma: Aliyoyafanya Majaliwa Ruangwa si maendeleo bali ni mageuzi
- Mjumbe wa kamati kuu ya CCM: Mbunge wetu ni Waziri Mkuu mnataka aje mwingine ili awe nani?
- Mbunge Hamida achangia 500,000/- kuboresha Ofisi ya Wafanyabiashara Soko la Sabasaba
- Ujenzi wa Tawi la UDSM Lindi wapiga hatua: Ngongo 45%, Ruangwa 36%
- Pre GE2025 - Picha: Hii ndiyo miradi inayotarajiwa kupitiwa na mwenge wa uhuru, Ruangwa 2025
Julai
- GE2025 - Kilwa Kaskazini; Mbunge anayemaliza muda wake avunjika mguu akisubiri usaili wa ubunge. Mtia nia mwingine afariki kwa ajali akienda kuchukua fomu
- GE2025 - LINDI: Majina ya Watia nia Ubunge waliochaguliwa hatua ya kura za maoni CCM
Agosti - GE2025 - Salma Kikwete achukua barua ya utambulisho CCM, kuelekea INEC kuchukua fomu ya ubunge Mchinga
- GE2025 - Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita Akamatwa na Polisi Baada ya Uzinduzi wa Kampeni
- GE2025 - Mchinjita: Tulipigwa mabomu ya machozi wakati tunajiandaa kwenda kwenye mkutano
- GE2025 - Polisi yeleza Sababu ya kukamatwa kwa Isihaka Mchinjita ni kufanya maandamano yaliyozuiliwa, yamwachia kwa dhamana
- GE2025 - Nape: Samia ndiye mgombea original, wengine wasindikizaji
- GE2025 - Nape: Dunia Inashangaa Rais Samia kufanya vizuri zaidi ya wanaume
- GE2025 - TAKUKURU Lindi yaboresha mikakati ya kupambana na Rushwa kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba
- GE2025 - Machifu Kabila la Wamwera waombea amani na ushindi kwa Rais Samia uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025
- GE2025 - Kassim Majaliwa: Najua umakini na nia thabiti ya Samia kwa Watanzania
- GE2025 - Je, Samia anafurahishwa na hali ya wamama kujigalagaza kwenye mavumbi?
- Samia: Mkiwakuta wale wanyama waambieni dawa yenu ipo jikoni
- GE2025 - Rais Samia aahidi Bima ya Afya kwa wote ndani ya Siku 100 za kwanza
- GE2025 - Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini
- GE2025 - Majaliwa: Rais Samia ana nia thabiti kwa Watanzania
- GE2025 - Mgombea ubunge Nachingwea adodosha mistari ya Hip Hop mbele ya Rais Samia, Samia naye aitikia
- GE2025 - Samia: Msimu wa korosho unakuja, Mungu atujalie tuuze kwa bei kubwa. Serikali yenu haipumziki
- GE2025 - Salma Kikwete arahisishiwa Kazi Jimboni, Mgombea Ubunge CHAUMMA, Mchinga, Yusuph Tamba atimkia CCM
- GE2025 - Samia: Hakuna Chama kitakachoweza kwa sasa hivi kulinda na kuinua Utu wa Mtanzania kama siyo CCM
- GE2025 - Samia: Tutatoa ruzuku ya Pembejeo bure na kutafuta masoko ya korosho ili kuongeza tija kwa wakulima
- GE2025 - Watawa Katoliki Lindi: Tunamuunga Mkono Rais Samia, Tunamuombea Miaka 5 tena
- GE2025 - Baruani CHADEMA: Mama Samia watu wa Lindi wana mimba ya mradi mkubwa wa gesi
- GE2025 - Samia: Wengine wanasema wataleta maji kwani walikuwa wapi siku zote kuleta maji?
- GE2025 - Salma Kikwete: Yaliyofanyika katika uongozi wako ni muujiza
- GE2025 - Kazi ya miaka 4 ya Rais Samia ni sawa na miaka 40
- GE2025 - Msimamizi wa uchaguzi Ruangwa atoa wito kwa vyombo vya habari kuzingatia maadili ya taaluma
Novemba
- Mchinjita: Lindi Mjini, vijana wa CCM walitumika kupiga na kuteka mawakala wetu, kuchoma nyumba zao