ITV waliripoti hii taarifa juzi kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2.Hakuna media tena hapa bongo
Atuliye alisha kula pesa yao na bado wana mdai
"Alipata kura 0 Prof Lipumba
Ndiyo maana walituzimia mitandao. Ili tusiyaone na kujuzana habari.Yaani Media ziliogopa kuripoti hii habari au mimi ndio sikusikia?
Hao Lindi nawapongeza sana.
CCM ishakufa huko.
Watapigwa faini na TCRAITV waliripoti hii taarifa juzi kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2.
Hao ni wavuta bangi wachache tu kama wewe hapo!! maana naona unavuta sana bangi yaan mpaka znakuchanganya,hujui kilichokufa na kilicho hai!!!!! achana na bangi dogoYaani Media ziliogopa kuripoti hii habari au mimi ndio sikusikia?
Hao Lindi nawapongeza sana.
CCM ishakufa huko.
Moto huanza kidogo kidogo tulieni tulieni hivo hivo make mzulumu haki za mtanzania kwa manufaa yenu binafsiWasipate tabu kuwabaini,kwanza waanze na viongozi wote wa CHADEMA wa Mkoa wa Lindi ambao wameratibu huu uhuni.