StillWaters
Member
- Apr 1, 2013
- 23
- 2
Unawakumbuka mafisi babu na bwich bwaiz.
Ficbabuz? Who ludo? Khalid ferdnard, mangosongo?
Duuh! Ebwana huyu mtu Mangosongo yuko wapi? Jamaa tuliripoti mwezi 7 2002 akawa anapiga word formation(Eng. 1) vibaya ila akahama. Yaan alikuwa amepiga tuisheni topic zote.
yeah, ngosongo alikuwa mbaya kwenye language ila hakumfikia kigoma one, na mwengine mbaya kwa language alikuwa nani yule jina limentoka.
Yah, that it is. Na mataba yeye alikomaa na hist two
Hahahahahaha, Matabaaaa, mzee wa misoc! Ticha Komba yuko wapi?