huyo tena nshalamba vibao vyake sana huyo alitikuta pale school
mkuu ulisoma mahiwa?Dah alikuwa teacher wangu Bios na Chemistry 5&6 before hajahamia hapo.
mkuu ulisoma mahiwa?
ha ha ha! Nimekumbuka mbali sana, we ulikua tolaboro au bruclean?, kumbuka baba kwame?, baba Dame...? Nilimalimaliza pale 2004. Bonge ya camp
Dah, hawa cwakumbuki, mwaka gan hii?
Bahia ni mkuu wa shule Mkonge cku hizi.
Halafu Kisanji alifariki mwaka jana mwishoni alizikwa Dar
r.i.p Kisanji second master.
Iko lindi town, nitakupm namba zake
Wapi Erick Mnene, Tizo the Killer, Jamali Juma aka waKishua, Masime, Kashamba na wengine kibao wazee Torabora camp 2002-2004.
daah huyu tarimo head-master wa sasa lindi high school alikuwa second master mahiwa sec,,,af akawa ananibania hata kunichagua kusahisha mitihani ya mock,,,nikaamua kuacha kazi kumbe ndio alikuwa ananipa safari ya mamtoni ha ha ha
daah huyu tarimo head-master wa sasa lindi high school alikuwa second master mahiwa sec,,,af akawa ananibania hata kunichagua kusahisha mitihani ya mock,,,nikaamua kuacha kazi kumbe ndio alikuwa ananipa safari ya mamtoni ha ha ha