Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Wakuu yani kuna hii tabia huwa inanikera sijui nye mnalichukuliaje.
Mnakuwa kwenye kikao,mengi yatazungumzwa,mwenyekiti ateleza kila kitu,sasa unakuta mwenyekiti anaruhusu wajumbe waulize maswali au mtu mwenye maoni tofauti.Unakuta maswali yanaulizwa.
Mwenyekiti anauliza....''jamani kuna mjumbe mwenye wazo tofauti ?''unakuta mtu ananyosha kidole halafu anasema ''mi sina wazo tofauti ila naunga mkono wazo lilitolewa na mjumbe aliyetangulia''halafu anaongezea na maneno kibao mda unaenda.
sasa kama hana wazo tofauti nini kilimfanya anyoshe kidole??
Mnakuwa kwenye kikao,mengi yatazungumzwa,mwenyekiti ateleza kila kitu,sasa unakuta mwenyekiti anaruhusu wajumbe waulize maswali au mtu mwenye maoni tofauti.Unakuta maswali yanaulizwa.
Mwenyekiti anauliza....''jamani kuna mjumbe mwenye wazo tofauti ?''unakuta mtu ananyosha kidole halafu anasema ''mi sina wazo tofauti ila naunga mkono wazo lilitolewa na mjumbe aliyetangulia''halafu anaongezea na maneno kibao mda unaenda.
sasa kama hana wazo tofauti nini kilimfanya anyoshe kidole??