JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,758
- 2,769
Salaam wadau wa jukwaa hili.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, linahitajika shamba kwa ajili ya kilimo cha mpunga maeneo ya Moshi au Manyara. Linawezakuwa linalokodishwa au linalouzwa pamoja na bei zake. Mwenye taarifa ya upatikanaji wake naomba anijulishe tafadhali. Au kwa mwenye uzoefu na maeneo hayo wanakolima hilo zao naomba unipe mawili matatu kwa experience yako tafadhali.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, linahitajika shamba kwa ajili ya kilimo cha mpunga maeneo ya Moshi au Manyara. Linawezakuwa linalokodishwa au linalouzwa pamoja na bei zake. Mwenye taarifa ya upatikanaji wake naomba anijulishe tafadhali. Au kwa mwenye uzoefu na maeneo hayo wanakolima hilo zao naomba unipe mawili matatu kwa experience yako tafadhali.