Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,976
Teh teh..Kuna viumbe wana dhambi aisee..Angemfanyia hata chorus banaHahah Kaboom nlikuambia mimi kule kwenye ile thread hawa wanatafunwa tu na hakuna cha sijui millioni 30 ya kolabo
Teh teh..Kuna viumbe wana dhambi aisee..Angemfanyia hata chorus banaHahah Kaboom nlikuambia mimi kule kwenye ile thread hawa wanatafunwa tu na hakuna cha sijui millioni 30 ya kolabo
Teh teh ila kweli angemfanyia hata chorus labda wakati anaimba ile nyimbo wakiwa 6 kwa 6 jamaa hajaridhika na mpangilio wa sauti japo tunaambiwa kuna sauti nne kuu ila kwenye ule uwanja zinafika aina kama 21 hiviTeh teh..Kuna viumbe wana dhambi aisee..Angemfanyia hata chorus bana
Teh teh..Basi alimuonea..Kweli kale kamchezo unaanzaje kuimba..Teh teh ila kweli angemfanyia hata chorus labda wakati anaimba ile nyimbo wakiwa 6 kwa 6 jamaa hajaridhika na mpangilio wa sauti japo tunaambiwa kuna sauti nne kuu ila kwenye ule uwanja zinafika aina kama 21 hivi
Hapo kwa pembeni ya huyo sijuwi nani aliye na mapaja kama kuna kaganda ka zana za kulimia??? UnajaliAiseeee... Let the died burry their dieds...!!!
Hivi Ni Kweli bro! Ni Kama kuna condom vile.Hapo kwa pembeni ya huyo sijuwi nani aliye na mapaja kama kuna kaganda ka zana za kulimia??? Unajali
Speaking of Besta. Huyu dada huwa nampendaga sana na lile shep lake... Yan yuko vizuri mtoto wa kanda ya ziwa...Huyu dada angejua kuwa hauziki, si sura wala umbo, asinge mtosa Amini now angekuwa katulia kwake kama mwimbaji Besta. Hilo paja lake lishampoteza, limeshikwa na linashikwa hovyo tu wakati mvuto ziro, nyota hana.
Hajawahi kutoka na mwenye ngoma.UMEJUAJE?
Nawe ni ki anduje?Nimetokea kumchukia uyu dada Alafu eti huwa nafananishwa nae...sijui namm naonekana kama yy
hapana,nae ana sura ya kibibibibi!Nawe ni ki anduje?