Limbwata limekolea hapa

Limbwata limekolea hapa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
13509080_629406400551975_2551820227046450470_n.jpg
 
you said it correctly Kabanga
 
siku hizi haki ni sawa.... sio ooh mwanaume suruali hana hela (sawa wababa nao wanafanya kazi zilizo dhaniwa ni za kina mama, na kina mama nao wafanye kazi wanazo dhani ni za kina baba )
 
siku hizi haki ni sawa.... sio ooh mwanaume suruali hana hela (sawa wababa nao wanafanya kazi zilizo dhaniwa ni za kina mama, na kina mama nao wafanye kazi wanazo dhani ni za kina baba )
kwa hilo pozi HAPANA aisee
 
Ila kweli wanaume hatupendezei hizi mambo basi tu tunalazimisha kwa kufarijiwa eti haki sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom