Limbu abwagwa tena Mahakama Kuu

Limbu abwagwa tena Mahakama Kuu

Haya maneno.tunataka act isonge mbele.na si marumbano ya kitoto
 
Hujajibu swali langu.

Isitoshe suala lilikuwa ni kuweka kumbukumbu sawa, sio kubishana.

mkuu wewe ambae unajua ndio ilitakiwa kuweka mambo sawa ili nasi tusiojua tuelewa, mwanasheri msomi mwandamizi anatamiwa awe na vigezo gani?
 
Kwa taarifa za ukakika nilizo Nazi ni kwamba kuna uwezekano mkubwa wa upande wa akina Limbu kushinda kesi ya msingi.
 
Back
Top Bottom