Bila shaka ni hili jipya la Saharaunazungumzia soko lilipo miti mirefu?
Mbona Washajaa , wale waliokuwepo kabla ya huu ujenzi mpya wamerudi kwa kasi ya 5G, nimepita hapo jana panapitika kwa shida sanaHakuna JIJi limepangika vibaya kama Rock city aisee lile Soko lingeenda nje ya Mjini kidogo pale patajaa machinga vibaya mnoo ma hakuna wa kuwazuia
Ndio faida za kutoa rushwaKuna watu washaanza kujipigia hela huko kabla halijakamilika..kuna jamaa amenambia walipewa control namba na almashauri ili ku book vyumba...cha ajabu kalipia laki tano...wapo waliolipoa hadi milion tano..mwsho wa siku wanaambiwa watatumia mfumo wa Tausi katika kupata vyumba..yan mkiwa kumi mnaweka ushindan apatikane mmoja atakaechukua...kwa hyo hela zao wamepigwa kiaina na hakuna pa kupeleka malalamiko
Kama una mtu kalipia laki tano au millioni kwa control namba niunganishe Mimi nifuatilie hizo pesa na haki zao watapata. Hata hivyo control namba inatoka kwenye mfumo wa tausi.Kuna watu washaanza kujipigia hela huko kabla halijakamilika..kuna jamaa amenambia walipewa control namba na almashauri ili ku book vyumba...cha ajabu kalipia laki tano...wapo waliolipoa hadi milion tano..mwsho wa siku wanaambiwa watatumia mfumo wa Tausi katika kupata vyumba..yan mkiwa kumi mnaweka ushindan apatikane mmoja atakaechukua...kwa hyo hela zao wamepigwa kiaina na hakuna pa kupeleka malalamiko
Sasa nahisi walitoa kama rushwa na ndo maana nlipojaribu kumuuliza kwa nini usifuatilie akaanza chenga chenga...atakuwa aliweka kweny account ya mtu ila akadanganya kuwa ni kweny control numberKama una mtu kalipia laki tano au millioni kwa control namba niunganishe Mimi nifuatilie hizo pesa na haki zao watapata. Hata hivyo control namba inatoka kwenye mfumo wa tausi.
Ni miaka mingi sana ila jengo naloona limekula muda kuliko mwonekano wakeNa ilikua mama alizundue ziara hii lakini eti halijakamikika bado😳😳😳
Kama ameweka kwenye akaunti kama rushwa zinarudi kiulaini sanaSasa nahisi walitoa kama rushwa na ndo maana nlipojaribu kumuuliza kwa nini usifuatilie akaanza chenga chenga...atakuwa aliweka kweny account ya mtu ila akadanganya kuwa ni kweny control numbe
Wasukuma wasahaulifu tutazindua SeptemberNa ilikua mama alizundue ziara hii lakini eti halijakamikika bado😳😳😳