Likud Nimeokoka

Hallelujah
 
Salama boss. Nipo mara moja moja. Mijadala ya hoja imepungua sana, na matusi wengine kwetu ni no go. Umewasahau October, XPaster,Max Shimba, Eyal na wengineo
 
Mtumishi naona umeshusha maneno mazito sana. Sema hilo "Konki "
 
YESU ANAWEZA YOTE
 
[emoji848][emoji15][emoji848][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuanzia Leo mimi na BAHARI za ushirikina na uchawi ndio nimezizika rasmi...
Bwana asifiwe LIKUD... Kilinge kitakumiss
Fanya hima mrudishe kundini. Sadaka zitapungua kilingeni
 
Likud, kesho hatunayo ila jana tulikuwa nayo. Leo tunayo hivyo basi toa ushuhuda wako leo ili na sisi tufuate nyayo zako leo hii hii wala si kesho.
 
Tunalitukuza jina lake na kuzidi kuliamini na kusema yeye ni MUNGU hakika yeye ni muweza wa yote hakuna kama yeye YESU KRISTO BWANA WETU

Hallelujah utukufu ni kwake milele na milele hakuna kama yeye nasema Hakuna hakuna kama yeye

Tulikuwa hatuna thamani akatupa thamani kweli utukufu ni kwake
 
Glory to God the almighty...
 
Hata bro Mshana jr, naona muelekeo unaleta matumaini. Maana sasa hivi thread za uchawi zimepungua kaanza za upatanishi na nasaha za maisha, ingawaje kaanza ulozi toka darasa la pili, ni jambo la muda tu atang'hatuka rasmi..[emoji847][emoji847]
 
Njoo tu mkuu, ueleze jinsi ulivyomkandamiza yule mwovu kwa jina la Yesu.
 
Karibu nyumbani.. Mahali pekee ambapo unaweza ukatua mizigo yako ya machungu katika dunia hii ni wokovu yani ndani ya kristo. Kumkiri Yesu kama bwana ni mwanzo wa maisha mapya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…