Likud Nimeokoka

Rafiki yangu kumbuka every saint has a past, and every sinner has a future, ni kumtia nguvu kiimani huyu amezaliwa upya ya nyuma hatupaswi kuyakumbuka, kama yeyw aliyejuu anatusamehe na wala hatuulizi sisi ni nani mpaka tufanye hayo?
Kwa hivyo, wewe ni mchawi uliye achana na uchawi leo?
Ni kweli hukuwa ukijua Yesu yupo ama ukaidi tu??
 
mi sasa ni miaka ishirini sihudhulii ibada ila nahisi sina dhambi,sijawahi gusa ushirikina,sio mlevi,sio malaya,sikumbuki kutenda dhambi yeyote,niko na amani sana,
 
Kuanzia Leo mimi na BAHARI za ushirikina na uchawi ndio nimezizika rasmi...
Bwana asifiwe LIKUD... Kilinge kitakumiss
 
Kwa nini Yesu na sio Allah/ Mtume Mohammed
 
Kama Ni kweli umechagua fungu jema.
Ni furaha mbinguni ,malaika wanashangilia mwenye dhambi Mmoja anapotubu.

Hata imekuwa Mtu akiwa ndani ya kristo amekuwa kiumbe kipya, ya kale yote yamepita, tazama !yamekuwa mapya
 
Yule aliyeanguka huko Iringa inebainika ulikua ni usanii.
Bwana Yesu alishatuonya kuwa nyakati hizi wengi watakuja kwa jina lake na watakuwa fake. So kwa sisi tunaomuamini ni uthibitisho tosha. Wasanii watazidi kuongezeka na sio kupungua ndugu yaku. Tarajia kusikia usanii zaidi ya ule wa Iringa
 
Rafiki yangu kumbuka every saint has a past, and every sinner has a future, ni kumtia nguvu kiimani huyu amezaliwa upya ya nyuma hatupaswi kuyakumbuka, kama yeyw aliyejuu anatusamehe na wala hatuulizi sisi ni nani mpaka tufanye hayo?
Sawa Mpendwa nimekuelewa,.
Ingawa nilitaka kupata uzoefu wake juu ya hilo Jina kabla ya hiyo jana.
 
Mbona siyaoni hayo machozi hapa!
 

Ni wewe!!!!!!! kweli bwana yesu apewe sifa
 
Bwana Yesu alishatuonya kuwa nyakati hizi wengi watakuja kwa jina lake na watakuwa fake. So kwa sisi tunaomuamini ni uthibitisho tosha. Wasanii watazidi kuongezeka na sio kupungua ndugu yaku. Tarajia kusikia usanii zaidi ya ule wa Iringa
Mkuu salama? Kitambo sana sijakusoma humu ndani, nakukumbuka kwenye jukwaa la imani enzi zile za mkuu Eshmael kwenye mijadala ya Kuwepo au kutokuwepo Mungu.

Eshmael nae ndio sijui kapotelea wapi hakika michango yenu ilikuwa ya kujenga haswaa!!

Nikutakie kila la kheri na Mungu azidi kukubariki.
 
Nakupenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…