Kingeke Mavoya
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 619
- 593
Habari yenu wana JF mimi sipendi kusalimia sana maana dk zangu nichache ila ningeombatu kuuliza kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo kwamba mwanzo humu JF kulikua na jukwaa la sheria ila jaajabu sioni tena hivyo nilikua naomba anayefahamu sababu aniambie maana napenda sana mada za sheria