Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,233 Nov 29, 2011 #21 Heri yako wewe mrundi, unaingia kazini saa 6:17 na kuanza kuchat Sunshow said: Wabongo kwa kupenda likizo! Kazini kwenyewe mnaingia saa nne then saa nne na nusu supu, saa sita lunch, saa saba na nusu kusoma magazeti, saa tisa mnarudi majumbani kwenu. Likizo ya nini wakati kazi hamfanyi? Click to expand...
Heri yako wewe mrundi, unaingia kazini saa 6:17 na kuanza kuchat Sunshow said: Wabongo kwa kupenda likizo! Kazini kwenyewe mnaingia saa nne then saa nne na nusu supu, saa sita lunch, saa saba na nusu kusoma magazeti, saa tisa mnarudi majumbani kwenu. Likizo ya nini wakati kazi hamfanyi? Click to expand...