Likizo

Heri yako wewe mrundi, unaingia kazini saa 6:17 na kuanza kuchat

Wabongo kwa kupenda likizo! Kazini kwenyewe mnaingia saa nne then saa nne na nusu supu, saa sita lunch, saa saba na nusu kusoma magazeti, saa tisa mnarudi majumbani kwenu. Likizo ya nini wakati kazi hamfanyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…