Bwana Banzi
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 382
- 174
- Thread starter
- #21
Waluguru, ila ukoo wao sihufahamu...tusubiri wengine watatusaidia katika hiloHivi kina Nyange sio waluguru?
Waluguru, ila ukoo wao sihufahamu...tusubiri wengine watatusaidia katika hiloHivi kina Nyange sio waluguru?
Oho...fifo, kwa mgima? Wana wadegeta?
Wazeru na wanoge ni koo tofauti, kina kinoge ndio hao kina kibua....kwa wanaume wanaitwa kina kobelo,au kina belege. Ila kuhusu koo za wazeru sipo deep kivile.., yaweza kuwa hapo zamani zilikuwa moja. Ila kwa sasa huwa naonamara nyingi zinatofautishwaWazeru na wanoge siyo koo moja? ...
Ona fifo...chikungu cha ng'owo chiinamile kuko, we mwiyangu ulawa kwani?Namgima! Wana wose walamka imane wayage!
Ona fifo...chikungu cha ng'owo chiinamile kuko, we mwiyangu wa kwani?Namgima! Wana wose walamka imane wayage!
Ona fifo...chikungu cha ng'owo chiinamile kuko, we mwiyangu ulawa kwani?
Hata nene nalawa matombo....Nene nilawa Matombo
Hata nene nalawa matombo....
Tze mitondo? Ne baba kalawa matombo kata yalundi eneo la misaga, mai kalawa wilaya ya mvomero tarafa ya mgetaMatombo kwani? Nene mayi wangu kalawa nemele tandari, baba lugeni
Aya ndugu zimefika.......Msalime Mkude Simba...........
hapo katika kula_NAONA WANAKULA KILA KITU
Hapo ndugu sifahamu kwa sababu maisha ya kijijini sijaishi...nimeishi sana moro mjini na pia daresalama, kwahiyo kuhusu hilo sija experience huku mjini. Kwahiyo siwezi kukujibu nisichokijua, nikipata majibu nitakujibu..Kwa nini mila zenu ukioa unapewa kiwanja ukweni ujenge uishi na mkeo? Na wakati mwingine unaweza hata kuishi hapo hapo kwa wakwe na mkeo? Nimeyashuhudia haya.
Tze mitondo? Ne baba kalawa matombo kata yalundi eneo la misaga, mai kalawa wilaya ya mvomero tarafa ya mgeta
Ona....ukae nighenda mara kwa mara kuwalola.Anoga! Ohoo lakini ukaye kughenda?
Imanye gwegwe miyangu?Anoga! Ohoo lakini ukaye kughenda?
Imanye gwegwe miyangu?
Ni kweli kwa sababu hata methali zetu nyingi zikitamkwa hata mtu wa ligha nyingine atafahamu..mfano asiye na mwana aeleke libweLugha yenu nyepesi inaeleweka, kweli kibantu icho