mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
+ YakubaBila Aucho Yanga ni kitayose
+ YakubaBila Aucho Yanga ni kitayose
Sisi sio kama nyie..!!,Sisi ni sisi na nyie ni nyie..Na hii game TunashindaVitu ambavyo ni lazima vitatokea kipindi cha pili
1. Red card itaenda kwa mchezaji wa namungo
2. Clearly penalty namungo wanapata refa anapeta
3. Kama kawaida mayele anashika tena afu yanga inapewa penalty
4. Fouls watazocheza yanga zitakua za kuonywa tu kwa mdomo huku namungo wakipigwa card
5. Goli la offside yanga watafunga, refa ataruhusu
6. Goli halali namungo itafunga, refa atasema offside
Kwa hiyo mwisho wa mpira unaamriwa na move? Kwisha kunaamuriwa na muda, unless ni penalty imepigwa na mpira upo hewani.Huyu refa vp?
unapuliza kipenga cha mapumziko wakati mpira uko kwenye.move ya hatari?
non sense
Duh!Tatizo lilianza yule kipa wa Yanga (Kabwili) kujirekodi akicheza uchi huku akituonesha matacle yake meusiii tii.
Tutaona kama ushindi utapatikana nje ya hivyo vitu sita nilivyoviainishaSisi sio kama nyie..!!,Sisi ni sisi na nyie ni nyie..Na hii game Tunashinda
Mpira umekushinda umehamia kwenye ugangaVitu ambavyo ni lazima vitatokea kipindi cha pili
1. Red card itaenda kwa mchezaji wa namungo
2. Clearly penalty namungo wanapata refa anapeta
3. Kama kawaida mayele anashika tena afu yanga inapewa penalty
4. Fouls watazocheza yanga zitakua za kuonywa tu kwa mdomo huku namungo wakipigwa card
5. Goli la offside yanga watafunga, refa ataruhusu
6. Goli halali namungo itafunga, refa atasema offside
we lucy weewee toka lini timu ya wananchi ukaifananisha na mandondocha ya mo>ludi nyumbani kumenogaFT: Namungo 2 vs Ngedere(NYANI) 1.
Nyani leo lazima mukalie ukuni(MTABAKWA TU)
LUC AYMAEL hapa naongea.