Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VII

Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VII

Yanga mtaipenda tu, wale wazee wa sare mtaielewa tu Yanga.
Huku Chelsea 2-1 , huku Yanga 2-0 wow what a weekend.
 
Leo mbeya city amechezea kichapo kwa mara ya tatu mfululizo..
 
Hivi mbeya city kuna siasa zimeingia hapo nini?
mbona mnaninyima raha hivyo.

shukdni daraja basi ili tuipandishe tukuyu stars.
 
afadhali yetu yamepita bado kwa mtani,..sijui rekodi itaendelea??
 
Hivi mbeya city kuna siasa zimeingia hapo nini?
mbona mnaninyima raha hivyo.

shukdni daraja basi ili tuipandishe tukuyu stars.
Tatizo lake ninyi wanyakyusa mna kelele sana, mwaka jana mlikuja na nguvu za soka mkapiga sana kelele na kuanza kujifananisha na yanga na simba mkasahau kuwa yanga na simba ndo kila kitu kwenye league ya bongo,,,
Na bado mtapigwa sana mwaka huu hadi mumtimue kocha wenu na timu ishuke daraja......
 
Wanashuka daraja hao, hakuna ubishi tena.

Bado mapema sana kusema watashuka daraja, Kuna msimu mmoja Moro United aliongoza kwa tofauti ya point kibao raundi ya kwanza lakini mwisho wa msimu hata kwenye tatu bora hakuwemo.
 
wote mnaoimbea mabaya Mbeya city hamtafanikiwa,tutarudi vizuri na tutafanya vizuri.Mungu ibariki Mbeya city fc
 
waliopo taifa leo hebu tupeni yanayojiri hapo
 
Leo mkia anapata sare ya 7 bila shaka ....haihitaji akili ya darasani...
 
Bado mapema sana kusema watashuka daraja, Kuna msimu mmoja Moro United aliongoza kwa tofauti ya point kibao raundi ya kwanza lakini mwisho wa msimu hata kwenye tatu bora hakuwemo.

Shikamoo Mkuu, Jambo Afande, Isiya B'hab'ha! Raundi ya kwanza ni nzuri sana kwa timu kutamba lakini raundi ya pili huwa ni lala salama, ni raundi ya timu kubwa kujizolea pointi kwa njia yoyote ile. Si unakumbuka mwaka jana MCC walipoteza mechi ya mwisho kimiujiza. Timu inapofanya vibaya raundi ya kwanza haturajii ifanye vizuri raundi ya pili. MCC itarajie miujiza kutoshuka daraja. Mikia nao wajitathmini sana maana nao wako mkiani tu.
 
Back
Top Bottom