Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Minyoo inakusumbuaKuangalia Bonanza ni kupoteza muda
Minyoo inakusumbuaKuangalia Bonanza ni kupoteza muda
hatutaki dharau hata kama tumekosa ubingwa,iyo ndoo sio kabisa yani!Buku Buku FC "Wakali Wa Michango"View attachment 2265810
We Leo Umesahau Jinsi Mlivyokuwa Mkitudhihaki Misimu Iliyopitahatutaki dharau hata kama tumekosa ubingwa,iyo ndoo sio kabisa yani!
hatuwazidi nye mliocheza bonanza miaka 4 mfululizoMechi ya bonanza inaendelea leo
Unazungumzia zama hizi hapo chini.We Leo Umesahau Jinsi Mlivyokuwa Mkitudhihaki Misimu Iliyopita
Ndo Hizo Hizo, Saiv Tupo HapaUnazungumzia zama hizi hapo chini.
View attachment 2265826
Vumilia tu hayo ni maumivu ya kujitakiahatuwazidi nye mliocheza bonanza miaka 4 mfululizo
Mikia vp tena 🤣🤣🤣Goooooooooooooaaal gooal
Kabunda anaipatia KMC bao la kwanza | Simba SC 0-1 KMC FC
Ushakula 1Bampa to Bampa Mpaka Mwisho
Tumepoteza Ubingwa Lakini Hatuwezi Kupoteza Furaha Yaani
Kila la heri Mnyama Mkali Mwituni