Lift/elevator mbovu sasa basi


Drive inayotumika ni (V.V.V.F) up & down collective , geared & gearless machine, Rail 70*65*9mm, Rope 50*50*5mm,
 
Good pamoja na kwamba wewe sio mteja ila umetoa challenge kwa muuzaji.
 
Mkuu punguza kwanza wewe hilo povu alafu naona unachanganya mada.. Door detector ama sensor ina kazi yake na remote pia ina kazi yake ila sijui kwanini unabisha ama unaweka ubishani kuhusu Lift zinazotumia remote kubaini tatizo kwenye Litf?.
Pia unaposema hii remote ni unsafe sijui una maana gani? ngoja nikuelimishe kidogo, linatokea tatizo kwenye Lift ama unahitaji kuifanyia Lift maintenance basi Lift utaweka switch ya manual na lIft utaiongoza wewe manual na hapo remote itahusika kusema tatizo liko wapi, na utakapomaliza utairudisha automatic na itapiga mzigo kama kawaida.
 
MM nataka kujua, lift capacity, voltage, speed na minimum stop height, mfano nataka lift iwe na 3 stop Lower ground to Ground floor 1.2m GF - 1ST FL 3.7M
Mkuu ni vema ukanipa vipimo vya shaft ya Lift, Width & Depth ndani kwa ndani nitakupa fasta hapa usijari ........ karibu sana
 
Use secured email address....
 
Good pamoja na kwamba wewe sio mteja ila umetoa challenge kwa muuzaji.
Hapana unajua nini Jamaa analeta ubishi na pia anabishana na technology, ndio najaribu kumuelewesha hahahahhahah yeye anajua vitu juu juu tu na hizi Lift ninazoongelea hata hazijui kabisa ndio maana anabisha tu. Hizi sio za kichina au za kihindi.
 
Bahati njema niliku quote na hii inanipa uhakika wa kwamba bado haujaiva kwa kile unacho kiuza.
Nimekuuliza ni aina ipi ya MECHANICAL DRIVE lift zenu hutumia?
Hapo bila shaka ulichemka na nikakurahisishia kwa kusema Rope drum and Motor ama Gear and Rail?
Pili ukiongezea na control panels naona ndio kwanza unajikoroga kabisaaa..... Kwasababu control panel's ni sawa na Station boxes kwaajili ya trouble shooting ikiwa tatizo limetokea kwenye lift.
Bado nasema kwa sauti kwamba Umechemka na haujui tofauti ya Remote, Sensor and Control panels.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante sana mkuu...
Capacity : 800Kg / 10 Passengers
Speed: 1.00 m/s
Door opening: Automatic door opening, Center door opening
Door size: W 900 (mm) * H 2000 (mm)
Cabin size: W 1550 (mm) D 1250 (mm)
Power supply: 380V AC 50HZ 3phase, 5 lines
Control: A.C - V.V.V.F with ARD System
 
Shaft = w x d = 1990x1880
Capacity : 800Kg / 10 Passengers
Speed: 1.00 m/s
Door opening: Automatic door opening, Center door opening
Door size: W 900 (mm) * H 2000 (mm)
Cabin size: W 1550 (mm) D 1250 (mm)
Power supply: 380V AC 50HZ 3phase, 5 lines
Control: A.C - V.V.V.F with ARD System
 
Minimum Stop height????????????
 

Ni pm now mkuu..
 
Poa poa Ila ndo mimi mkuu , ulikuja ofisini hapa ukanipa quotation .. tutaendelea kuwasiliana.
Aaah sawa sawa mkuu, nimekupata asante sana kwa ushirikiano wako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…