Life without a husband

Eti ni kweli kwamba mwanamke bila mume&and vice versa hajakamilika?? Je ni muhimu kuoa/kuolewa?

Jamani haya maulizo mengine yanaudhi humu!
Hivi hatujua kila kitu kina umuhim wake?
Mbona watu wanavaa nguo zaidi ya mbili sehem moya!
Kwani what's necessitous?
 
du lugha gongana! Ngoja nisome hisia za watu hapa, kila post ninayosoma natambua mhusika katendwa ama anakula bata kwenye relation yake! Mfano yule wa vibrator anaonekana kabisa kuwa ana frustrations! Why opt for a vibrator while there are alot of guys out there who can do u perfectly well!
 
Marriage is not like a Boomerang sometimes hupati unachotoa na sometimes you get what you dont deserve... What do I mean you migt ask?, It depends you can not generalise watu wapo tofauti, other marriages are good other are worse....

Kujibu swali lako depends na partner wako, kama ana busara then obvious the two of you mtakuwa more complete than one... cause two heads are better than one..

Kama partner wako atakuwa mzigo kwako basi hata ule ucomplete wako wa before utakwisha.

Tough love!!

Kwani unapo-rapiwa inakupunguzia nini?

wewe nawe wa mpitimbi nini,umeandika nini sasa?

that represents how u r

Hilo ni swali au statement!

Nadhani hilo la kwanza na mengine ndio majibu yatakayomsaidia muhusika... Haya mengine not so sure
 
Hakuna mtu asiyependa kuwa kwenye Ndoa ila kunasababu zinazofanya mtu asipende kuwa kwenye Ndoa kama Ubinafsi, Tabia Yake mwenyewe na magonjwa na mambo mengine kiasi kupelekea mtu kuanza kusema yeye hana Mpango wa kuoa au kuolewa ila ukweli ni kuwa kwanini aseme hana Mpango wa kuolewa au kuoa? Cha Muhimu ni kuwa Mungu alipomuumba mwanamke na mwanaume ni ili wasaidiane na kukamilika kwa mwanaume na mwanamke ni wale wanaoamua kujiunga na kuishi pamoja.Ndio maana Mungu alimwambia Adamu nitakutafutia msaidizi wa kufanana nawe ili waweze kuwa kamili.Mungu anapokuletea mawazo ya kuoa au kuolewa, ni kwa ajili yakuimarisha maisha yako na wito wako na kazi na makusudi, ambayo ameyaweka hapa duniani. Atakuletea mtu atakaye imarisha wito wako, atakuletea mtu atakaye saidiana na wewe, uwe ni mwanamke au uwe ni mwanaume. Hivyo swala zima la kukamilika kwa mwanamke au mwanaume ni pale anapoamua kuishi maisha ya ndoa ya kumpendeza Mungu kuliko kuzaa nje ya Ndoa na Kuendekeza Zinaa.
 
Hajakamilika nini?
Kwani mume ndio pumzi ukimkosa huishi.
Hili swali silielewi elewi.
 
kila jambo lina uzuri wake kwa wakati wake ni suala la mtu kujifunza na kuamua lipi anaweza kuliishi na kama utaangalia mabaya tu hata ndoa utaziona ni mbaya tu lakini ukweli ni kwamba hata maisha ya bila ndoa yana matatizo yake,ndoa ni nzuri though zina challenge nyingi tu lakini huko ndio unapoona uzuri wa ndoa na kujifunza na kusonga mbele kila la heri.
 
Kwani mume ndio pumzi ukimkosa huishi.
Hataka kama utaishi ila yatakuwa si maisha ya furaha na amani katika Dunia Hii ukweli ni kwamba tunapaswa kuoa na kuoana. Tusisiseme kwani ni pumzi , kuwa na Mume au mke kunafaida zake pia.
 
Hayo ni ya kweli kabisa
kila jambo lina uzuri wake kwa wakati wake ni suala la mtu kujifunza na kuamua lipi anaweza kuliishi na kama utaangalia mabaya tu hata ndoa utaziona ni mbaya tu lakini ukweli ni kwamba hata maisha ya bila ndoa yana matatizo yake,ndoa ni nzuri though zina challenge nyingi tu lakini huko ndio unapoona uzuri wa ndoa na kujifunza na kusonga mbele kila la heri.
 
Hataka kama utaishi ila yatakuwa si maisha ya furaha na amani katika Dunia Hii ukweli ni kwamba tunapaswa kuoa na kuoana. Tusisiseme kwani ni pumzi , kuwa na Mume au mke kunafaida zake pia.

sasa ukizikosa hizo faida ndio uwe hujakamilika?
 
Mwanamke kama hana mume/ndoa, hata awe na uwezo namna gani ukamilifu wake hautakuwa sawa na yule mwenye ndoa/mume. Vivyo hivyo kwa mwanaume pia. Msuli wa pesa haununui UPENDO ktk maisha, haununui AMANI, haununui FURAHA.

Mungu ana maana yake kuumba Mume na Mke


Brother hiyo avatar yako imekosewa? au iko sawa,sijaielewa!
 
s.times,mume ni kama security fulani,na kwa kijamii ni kama heshima fulani.ingawa unaweza ukawa katika ndoa,ikawa ndoana,matatizo kila kukicha,ila ukiwa nje hakuna anaejua kinachoendelea ndani.kifupi kila mtu m.ke ana mtazamo wake wa maisha,wengine umri ukienda unaona bora ujizalie basi.muhimu uwe na kazi yako,na ujihesabie as a single mum.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom