Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

ABOUT 150 km from the port of Tanga is Sakharani Farm in the Usambara Mountains. In 1946, the community in Ndanda bought a reasonably large portion of land in this area from an Englishman. This land was to be used for agricultural purposes. Its altitude of 1300m makes Sakharani suitable for growing different kinds of plants, namely: quinine trees, macadamia nuts, coffee, bananas and grapes. All these activities provide employment for many people.

The community consists of about five confreres who, apart from farm work, engage themselves in pastoral work in the parishes of Sakharani, Soni and the surrounding outstations. Other activities include a small auto workshop, carpentry and gardening. Sakharani is also used as a rest house for many visitors as well as a meeting point for the young people who show an interest in joining the community in Ndanda. For more about Sakharani click here.
AddressBenedictine Community,SakharaniP.O. Box 40, SoniLushoto Tanzania​
tupe simu yako au email tuwasiliane haraka
 
View attachment 1546458
View attachment 1546456

macadamia%252520nuts.jpg
Karanga pori,asili yake ni Australia.Mti wa karanga pori unatokana na jamii ya mimea ya proteaceae,aina zote zinalika ambayo mimea yote miwili ni Macadamia intergrifolia na Macadamia tetraphllya mchanganyiko wa mbegu zote mbili bado unafaa kama zao la kilimo la biashara.

Kwa Afrika,Karanga pori inalimwa Kenya,Malawi.Swaziland,Zimbabwe na Afrika ya Kusini.Karanga pori unaota kwenye eneo lolote la udongo na hali ya joto la kawaida kati ya 25c na 35c.Uzalishaji wa mimea inapendekezwa umbali kutoka usawa wa bahari mita 800.Hali ya hewa inachangia zaidi kuliko mwinuko kutoka usawa wa bahari katika kupata mazao bora.

Mvua katika maeneo yote ya uzalishaji kusini na mashariki ya Afrika,Mvua ni kati ya 800 na 1200mm kwa mwaka hivyo asilimia 70 zinanyesha katika kipindi cha kiangazi na ukame.Kumwagilia kunasaidia hasa kwa miti ile michanga ili kusaidia ikue haraka na kutoa mazao.

Aina nzuri ya karanga pori ni ile yenye uwezo wa kuzalisha tani 4 ya karanga kavu zenye maganda kwa hekta,mmea ukiwa umekomaa katika umri wa miaka chini ya 12 au juu kidogo.Aina bora ya karanga pori huanza kuzaa ukiwa na miaka mitatu au juu kidogo.

Mavuno hutegemea mbinu za uzalishaji na taratibu za maandalizi.Miti ikiwa na umri wa miaka 12-15 mazao huwa kilo 15-50 ya karanga kavu zenye ganda la ndani kwa mti.

Bei ya karanga pori ni dola za Marekani 2.1 kwa kilo kwa karanga zenye ganda la ndani.Wastani wa mazao kwa mti ni kilo 15 kama unachanganya karanga pori na mazao mengine inashauriwa kupanda miti 35 kwa ekari.

Kama huchanganyi na mazao mengine basi huoteshwa miti 270 kwa ekari ambapo pato lake hufikia hadi shilingi za kitanzania milioni 16 kwa mavuno.

Aina inayozalishwa kwa njia ya matawi huanza kuzaa ikiwa na umri wa miaka mitatu hadi minne,lakini mazao halisi hupatikana kati ya miaka 12 hadi 15.Mti wa mkaranga pori huishi kwa miaka 50.


Wadau wanaohitaji kufahamu kuhusu zao hili la macadamia

Wadau,

Kuna fursa kubwa kwenye kilimo cha matunda especially kwa nchi yetu ambayo ina ardhi nzuri na ambayo inafaa kwa mazao mengi.

Zao la Macadamia ni miongoni mwa mazao ya muda mrefu ambalo linaweza kubadirisha kilimo cha Tanzania, kwa sasa kuna mtaalamu ambaye ana kitalu cha miche ya macadamia (mche mmoja unauzwa shs 2,000) macadamia inaweza kustawi vizuri kwenye sehemu za baridi lakini siyo baridi sana hivyo kilolo, ifakara, morogoro, arusha, lushoto inaweza kustawi kwa uzuri zaidi.

Mimi nimechukua miche michache kwa ajiri ya kujaribu kwenye maeneo ya kisarawe.



Michango ya wadau

----
naomba simu yako au muhusika wa kilimo cha macadamia
ABOUT 150 km from the port of Tanga is Sakharani Farm in the Usambara Mountains. In 1946, the community in Ndanda bought a reasonably large portion of land in this area from an Englishman. This land was to be used for agricultural purposes. Its altitude of 1300m makes Sakharani suitable for growing different kinds of plants, namely: quinine trees, macadamia nuts, coffee, bananas and grapes. All these activities provide employment for many people.

The community consists of about five confreres who, apart from farm work, engage themselves in pastoral work in the parishes of Sakharani, Soni and the surrounding outstations. Other activities include a small auto workshop, carpentry and gardening. Sakharani is also used as a rest house for many visitors as well as a meeting point for the young people who show an interest in joining the community in Ndanda. For more about Sakharani click here.
AddressBenedictine Community,SakharaniP.O. Box 40, SoniLushoto Tanzania​

tupe simu yako tunataka kununua hiyo miche ya shs 2,000/= piga au tuma sms 0763031988 / 0623225404
 
Karanga pori,asili yake ni Australia.Mti wa karanga pori unatokana na jamii ya mimea ya proteaceae,aina zote zinalika ambayo mimea yote miwili ni Macadamia intergrifolia na Macadamia tetraphllya mchanganyiko wa mbegu zote mbili bado unafaa kama zao la kilimo la biashara.

Kwa Afrika,Karanga pori inalimwa Kenya,Malawi.Swaziland,Zimbabwe na Afrika ya Kusini.Karanga pori unaota kwenye eneo lolote la udongo na hali ya joto la kawaida kati ya 25c na 35c.Uzalishaji wa mimea inapendekezwa umbali kutoka usawa wa bahari mita 800.Hali ya hewa inachangia zaidi kuliko mwinuko kutoka usawa wa bahari katika kupata mazao bora.

Mvua katika maeneo yote ya uzalishaji kusini na mashariki ya Afrika,Mvua ni kati ya 800 na 1200mm kwa mwaka hivyo asilimia 70 zinanyesha katika kipindi cha kiangazi na ukame.Kumwagilia kunasaidia hasa kwa miti ile michanga ili kusaidia ikue haraka na kutoa mazao.

Aina nzuri ya karanga pori ni ile yenye uwezo wa kuzalisha tani 4 ya karanga kavu zenye maganda kwa hekta,mmea ukiwa umekomaa katika umri wa miaka chini ya 12 au juu kidogo.Aina bora ya karanga pori huanza kuzaa ukiwa na miaka mitatu au juu kidogo.

Mavuno hutegemea mbinu za uzalishaji na taratibu za maandalizi.Miti ikiwa na umri wa miaka 12-15 mazao huwa kilo 15-50 ya karanga kavu zenye ganda la ndani kwa mti.

Bei ya karanga pori ni dola za Marekani 2.1 kwa kilo kwa karanga zenye ganda la ndani.Wastani wa mazao kwa mti ni kilo 15 kama unachanganya karanga pori na mazao mengine inashauriwa kupanda miti 35 kwa ekari.

Kama huchanganyi na mazao mengine basi huoteshwa miti 270 kwa ekari ambapo pato lake hufikia hadi shilingi za kitanzania milioni 16 kwa mavuno.

Aina inayozalishwa kwa njia ya matawi huanza kuzaa ikiwa na umri wa miaka mitatu hadi minne,lakini mazao halisi hupatikana kati ya miaka 12 hadi 15.Mti wa mkaranga pori huishi kwa miaka 50.


Wadau wanaohitaji kufahamu kuhusu zao hili la macadamia

Wadau,

Kuna fursa kubwa kwenye kilimo cha matunda especially kwa nchi yetu ambayo ina ardhi nzuri na ambayo inafaa kwa mazao mengi.

Zao la Macadamia ni miongoni mwa mazao ya muda mrefu ambalo linaweza kubadirisha kilimo cha Tanzania, kwa sasa kuna mtaalamu ambaye ana kitalu cha miche ya macadamia (mche mmoja unauzwa shs 2,000) macadamia inaweza kustawi vizuri kwenye sehemu za baridi lakini siyo baridi sana hivyo kilolo, ifakara, morogoro, arusha, lushoto inaweza kustawi kwa uzuri zaidi.

Mimi nimechukua miche michache kwa ajiri ya kujaribu kwenye maeneo ya kisarawe.



Michango ya wadau

----
Tupe mrejesho ushaanza vuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom