Libya's NTC Flag removed at the Dar es Salaam Embassy

Libya's NTC Flag removed at the Dar es Salaam Embassy

Madicteta wanamtetea dicteta mwenzao ila walibya wameamua kumtimua sasa wampe hifadhi.

Gaddafi hajatimuliwa na walibya ni fitina tu za wazungu kwa kuwatumia vijana wachache wakihuni ambao idadi yao sio zaidi ya elfu kumi katika population ya six million ya walibya wanaompenda Ghaddafi!!
 
Hao ndio mawaziri wetu wanavyofikiri badala ya kushuhulika na wachina na wahindi walopo kinyume cha sheria yeye anakimbilia bendera..what is bendera bwana gadafi kwisha habari yake membe anapoteza wakati hana la kufanya walibya wameshaamua...
 
Ubalozi wa Libya umegundua kuwa umevunja kanuni za kidiplomasia ndio maana wameomba radhi na kushusha bendera ya waasi.
Huyo balozi aliamua kufanya hivyo ili alinde maslahi yake na sio kwamba anawaunga mkono waasi wa NTC.
Muda utafika wakati libya wakiwa na serikali ya mpito na ndipo watakapotuma utambulisho rasmi wa balozi wao.
 
Ubalozi wa Libya umegundua kuwa umevunja kanuni za kidiplomasia ndio maana wameomba radhi na kushusha bendera ya waasi.
Huyo balozi aliamua kufanya hivyo ili alinde maslahi yake na sio kwamba anawaunga mkono waasi wa NTC.
Muda utafika wakati libya wakiwa na serikali ya mpito na ndipo watakapotuma utambulisho rasmi wa balozi wao.

Ni kweli huyo baloz amefanya hivyo kutetata maslahi ya unga wake. Nashangaa watu wanamsakama Membe.

  • NTC kirefu chake tuni Natinal Transition council. Sasa kama wako wneye Transition Ni lini hiyo Coucil imekaa na kuendorse bendera mpya?
  • What if after two weeks waasi wakigawanyika makundi mmawili na kila moja likawa na bebdera yake. Huyo balozi atapandisha bendera gani wakati alishashusha ya gadaffi.
  • What if katika volatile sitution mara libya imegawanyika katika nchi mbili. Inakuja kuoneka bendara iliyopandishwa ni ya nchi ya " Libya Bhengazi" Wai tunajua huu ubalozi wetu ni waLibya Tripoli
Situation ya libya ilivyo volatile mimi nadhani alichoamuru membe bendera kushushwa ni sahihi. Yes tunajua na tunakubali Gaddfi era in libya is over lakini inabidi tuwe smart.
 
common! unafahamu unachokisema? nchi zote zilizoendelea na zenye viongozi makini wana itambua NTC. iweje sisi maskini wa bongo eti hatuitambua NTC!! ghadaffi is a barbaric and who ever support him falls in the same category. lazima tujijengee maslahi ya kudumu na sio urafiki wa kudumu usio na tija kwa nchi. viva NTC viva russia for recognizing NTC

Wewe nadhani unaota sana. Unakamuliwa madini na wajanja unajiita una marafiki wa kimaslahi?. Unajua wana lengo gani na Libya na Afrika kwa kushadidia vita vya Libya. Nani ana uwezo wa kufikiri kibepari Tanzania awe na uarfiki na America wakati hata mikatabata hatuna uwezo wakuchora hata uwezo wa kufanya biashara hatuna. Tuache kujidanganya eti tukirecognize NTC ndio tupo salama. Bahati yenu mlishasaini mikataba amabyo NTC watasaini na NATO nanyi mngekuwa na strong Leader kama gadafi anayebania western mngetwangwa tu. THINK BIG Man. Huwezi kaa na mmareakani the same seat.
 
Mkuu sawa balozi kaweka bendera ya Gaddafi nje. Vipi kinachoendelea ndani ya ubalozi kitakuwa na uhusiano wowote na iliyokuwa serikali ya Gaddafi? Kutundika bendera ya Gaddafi nje ya ubalozi kutabadilisha balozi na mission nzima kubadili uamuzi wao wa kuitambua NTC? Au kwa vile bendera ya Gaddafi imerudishwa basi Membe ata judge the book by its cover? Au itambidi asome kitabu chote ili ajue content nzima?
<br />
<br />

Hili neno haswaaa
 
Dunia ina watu wa ajabu wasiotaka kuukubali uhalisia. Kuna watu hata wakati Saddam alipoangushwa hawakuamini, walikuwa wanasubiri aibuke atoe pigo la mwisho kwa majeshi ya uvamizi, Osama alipouawa hawakuamini wanasubiri aibuke atoe vitisho vyake kama kawaida! Gadhafi kakurupushwa hawakubali wana matumaini kuwa anaweza kurudi kwa namna fulani! Leo hii Maembe anaweza kuona ni wapi sheria zisizoidhuru Tz zimevunjwa lkn serikali hii na wizara anayoiongoza hawawezi kutwambia sheria zilizovunjwa na hatua stahiki zilizochukuliwa kurudisha wanyama wetu wanaotoroshewa uarabuni kila leo. Kama kweli wanamkubali Gadhafi kiasi hicho, yale ambayo tunaambiwa ameyafanya kulinda maliasili za Libya kwa nini hawajayafanya nchini mwetu kulinda maliasili zetu? Wanamkubali kwa lipi? kupewa zawadi binafsi ambazo zimeibwa kutoka Libya??? Kupandishwa kwa bendera tofauti kungeipa Tanzania hasara gani? Kurudishwa kwa bendera ya gadhafi kunatupa faida gani kama taifa? Waendelee kumsubiri gadhafi (ambaye ni mfalme wao) atawakumbuka akirudi madarakani!!!
 
Back
Top Bottom