WANDEWANDE
Member
- Aug 25, 2015
- 9
- 0
Hawajalipwa toka mwezi wa pili japo walipaswa kulipwa mara tu wakikabidhi ripoti ya siku kumi na tano, mpaka leo wanapigwa danadana tu wakati wao washalamba hela toka kwa wafadhili wao.
huu wizi
huu wizi
Mkuuu hivi wale madreva wa bodaboda waliotoa huduma pale jangwani juzi wameshalipwa pesa zao za mafuta?? kwani nimesikia kuwa wamelianzisha.Hawajalipwa toka mwezi wa pili japo walipaswa kulipwa mara tu wakikabidhi ripoti ya siku kumi na tano, mpaka leo wanapigwa danadana tu wakati wao washalamba hela toka kwa wafadhili wao.
huu wizi
Mkuuu hivi wale madreva wa bodaboda waliotoa huduma pale jangwani juzi wameshalipwa pesa zao za mafuta?? kwani nimesikia kuwa wamelianzisha.