PostGE2025 LHRC: Wafanyakazi wetu wamevamiwa na kunyang'anywa vitendea kazi usiku wa Novemba 12

PostGE2025 LHRC: Wafanyakazi wetu wamevamiwa na kunyang'anywa vitendea kazi usiku wa Novemba 12

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Kupitia ukurasa wa mtandao wa instagrama Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) imetoa taarifa ya kuhusu wafanyakazi wake kuvamiwa jana Novemba 12, 2025 wakati wakiendelea na majukumu yao katika Hoteli ya Whitesands Jijini Dar es Salaam ambapo walinyanganywa vitendea kazi na leo Novemba 13, 2025 wameitwa kuhojiwa kuhusu vifaa hivyo

"Wafanyakazi wa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) walivamiwa usiku wa jana wakiwa wanaendelea na na majukumu yao katika Hoteli ya Whitesands Jijini Dar es salaam. Hoteli yote ilizingirwa, na timu yetu ndiyo ilikuwa inalengwa moja kwa moja. Simu na kompyuta mpakato zao zilichukuliwa. Na asubuhi ya leo wameitwa kuhojiwa kuhusu vifaa hivyo. LHRC tumesikitishwa sana kwa tukio hilo"- Taarifa ya LHRC

1763034677870.png
photo_2025-11-13_18-35-29.jpg
 
ICC haikwepeki ,taasisi za haki za binaadamu kuweni na backup ya data zenu za kupeleke ICC na hata wakiharibu vitendea kazi basi zipo kwenye cloud servers ,hao Ma Zero Brain vichwa vyao empty hawana uelewa wowote kwenye Teqnolojia....wapo backed up na TCRA kwenye TTMS.
 
Kupitia ukurasa wa mtandao wa instagrama Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) imetoa taarifa ya kuhusu wafanyakazi wake kuvamiwa jana Novemba 12, 2025 wakati wakiendelea na majukumu yao katika Hoteli ya Whitesands Jijini Dar es Salaam ambapo walinyanganywa vitendea kazi na leo Novemba 13, 2025 wameitwa kuhojiwa kuhusu vifaa hivyo

"Wafanyakazi wa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) walivamiwa usiku wa jana wakiwa wanaendelea na na majukumu yao katika Hoteli ya Whitesands Jijini Dar es salaam. Hoteli yote ilizingirwa, na timu yetu ndiyo ilikuwa inalengwa moja kwa moja. Simu na kompyuta mpakato zao zilichukuliwa. Na asubuhi ya leo wameitwa kuhojiwa kuhusu vifaa hivyo. LHRC tumesikitishwa sana kwa tukio hilo"- Taarifa ya LHRC

Screenshot_20251107-170519.jpg
Screenshot_20251103-215016~3.jpg
Screenshot_20251106-145458.jpg
Screenshot_20251103-214923~2.jpg

Bi Urojo kwa makusudi kabisa unafanya kila jitihada Tanganyika igeuke Somalia kwa faida ya nani, utemi na maguvu haviwezi kuwanyanazisha wanaopambania haki.
Bi Urojo wewe ni dictator uchwara, na hii sumu unayoipanda ipo siku utainywa na hicho ki Abdul hata kama kinaendelea kujificha huko Dubai.
Personally utasakwa tena ki'Mafia na hautaamini umenaswa vipi, lindwa unavyolindwa ila you gotta know it takes just one surgical precision move to pin you.
 
Usihoji lolote aidha mdomo wa Bunduki Kichwani kwako au ukalale na chatu kigamboni.
 
Mkiambiwa kumwaga damu za watu wasio na hatia ni laana muwe mnaelewa,sasa mnaangaika kupoteza ushahidi kwa style hiyo si ni kupoteza muda tu au mtawapasua na vichwa kutafuta ushahidi
 
Kuna siku juzi hapa mwanasheria wao Miku Massawe alikuwa anahojiwa, nilivyomsikia tu nikawaambia watu huyu anahitaji ulinzi.
Sasa nani angemlinda. Maana CCM wana nguvu sana. It wouldn't change anything
 
Back
Top Bottom