bei ya kila moja ni shilingi milioni 43 kwa moja, mtakaji atalipa nusu ya bei, dhamana anapewa hati ya nyumba, View attachment 67570View attachment 67571View attachment 67571View attachment 67572View attachment 67573View attachment 67574View attachment 67575View attachment 67576View attachment 67577View attachment 67578View attachment 67579
Hiyo bei CIF Dar included tax na ushuru?
Hizo gari ni ton ngapi? 18 au 24? HP ndio hiyo 320 na 380?
Kwa nini mnauza vitu kama ndizi? Huweki description wala nini? au ndio mpaka mbembelezwe? Pili, hayo magari speedometer inasomaje? Mwaka gani yametengenezwa? Country of Origin kama nataka kujua Vin Number yake na any accident history.
Watu hawanunui tuu kama mazumbu kuku siku hizi.
mkuu Mtanganyika hiyo bei unakabidhiwa gari ikiwa imelipiwa ushuru na unapewa file zima pamoja na kadi yake,hizo gari ni ton 18, na hiyo nyeupe na buluu HP 320, hiyo ya kijani na wekundu HP 380, gari zote ni za 1994, hiyo nyeupe na buluu ina km 782,000 na hiyo kijani wekundu km 917000, yemetengenezwa sweden,hayajawai kupata ajali yoyote hile.