Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Kwanini matangazo mengi hayatoagi BEI..... kwangu ndio kipimo cha kujitangaza ktk biashara inayohusisha monies/pennies.... Ili unavyopigiwa simu mtu tayari ameshafanya hata preliminary comparative analysis.
lakn tatizo la biashara za kibongo ni za kihuni sana,kila kitu ni uswajili tu watu wahako-open kabisa
sasa wewe kusema tu bei unaona shida gani? au tunatongozana hapa?
yaani watu wakoki-dowan dowan tu...aghhhhhhhhhhhh
lakn tatizo la biashara za kibongo ni za kihuni sana,kila kitu ni uswajili tu watu wahako-open kabisa
sasa wewe kusema tu bei unaona shida gani? au tunatongozana hapa?
yaani watu wakoki-dowan dowan tu...aghhhhhhhhhhhh