Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,207
- 15,881
Habari wakuu!
Nimepata majanga simu zangu zimeharibika zote kwa wakati mmoja yaani zimepishana kwa masaa tu.
Infinix S2 Pro imevimba battery,Samsung J3 Prime imekata moto ghafla.Infinix nimeipeleka service center yao battery wanasema hawana nisubiri 2weeks Samsung mafundi wanasema imekufa mashine tatizo bei wanazotaka naziona kubwa bora nikanunua simu nyengine tu.
Nimeshauriwa niingie kwenye LG,kuna mdau amenishauri nitafute LG Nexus 5X wasiwasi wangu hizi simu sijawahi kuzitumia naomba kwa anayejua udhaifu au ubora wa products za LG aniambie pia kama mdau una pendekezo la simu iliyo bora zaidi ya hii nitashukuru kama utanieleza hapa.
Budget yangu ni 500K.
Mkuu CHIEF MKWAWA kama hutojali naomba uniazime muda wako ktk hili.
Nimepata majanga simu zangu zimeharibika zote kwa wakati mmoja yaani zimepishana kwa masaa tu.
Infinix S2 Pro imevimba battery,Samsung J3 Prime imekata moto ghafla.Infinix nimeipeleka service center yao battery wanasema hawana nisubiri 2weeks Samsung mafundi wanasema imekufa mashine tatizo bei wanazotaka naziona kubwa bora nikanunua simu nyengine tu.
Nimeshauriwa niingie kwenye LG,kuna mdau amenishauri nitafute LG Nexus 5X wasiwasi wangu hizi simu sijawahi kuzitumia naomba kwa anayejua udhaifu au ubora wa products za LG aniambie pia kama mdau una pendekezo la simu iliyo bora zaidi ya hii nitashukuru kama utanieleza hapa.
Budget yangu ni 500K.
Mkuu CHIEF MKWAWA kama hutojali naomba uniazime muda wako ktk hili.