Kabisa mkuu,cjui kwanin wameamua kuleta ivo.Yani mkuu hii kitu mimi binafsi imenikera mbaya...akhuu!!bora irudi kama mwanzo aise maana sehemu ya ya status ya kuaambatanisha na picha hakuna kabisa..sijui ni upumbavu gani huyu bwana meck sijui..katuletea
Kibahasha kipi mkuu? Ngoja ntachek.Pale juu kwenye kibahasha ukiclick ndo utaona contacts
Aah,kumbeContact zimehamia kwa juu .japo mpanglio wa hii so poa kabisa
Aah,kumbe
kweli ase,mbovu san hii.Sawa contact zipo lkin huwez ona status ya kwako wala ya mtu yeyote..ndo nini sasa.picha peke yake bila tustatus!!hapana!hapana!hapana
Kiukweli hiyo update ni hovyoooo!!! Kwanza inakula MB nyingi kutizama status uchwara za watu maana unakuta katupia video eti ndo status hapo wachemka kwakweli binafsi sijapenda hata
Ndo ipi mkuu em tuambieemi natumia beta version iko good
Hio video ilikua kuhusu hio whats app betterNdo ipi mkuu em tuambiee
Daah kwakweli sijakuelewa mkuu.Hio video ilikua kuhusu hio whats app better
TunAomba Link mkuumi natumia beta version iko good
Huwezi. Whats app hawana backdoor bossNiya kipuuuuuzi kabisa....hii whatsap beta hebu nielekeze jinsi ya kuiondo maana inaniletea vitu vya kijinga jinga....
Angalia io video utaelewa ni unajiregister tuuTunAomba Link mkuu
Mimi natumia Whatsapp beta, nime-update juzi hapa na wamerudisha ule mtindo wa zamani wa kuweka Picha na Maneno chini yake (kama status) lakini zile status za picha na video hawajaitoa..bado ipo!Kiukweli hiyo update ni hovyoooo!!! Kwanza inakula MB nyingi kutizama status uchwara za watu maana unakuta katupia video eti ndo status hapo wachemka kwakweli binafsi sijapenda hata