Mie naona hii barua haikuandikwa na mhanga wa mapenzi hayo kichaa, ila imeandikwa na mtu aliyetaka kufanya mzaha tu. Sababu ni kwamba anaanza vizuri kujieleza halafu inapofika pale pa kuonyesha ukweli wa mambo ulivyokuwa anakorogakoroga bila kueleweka. Hii barua ni mtu alikuwa anatunga kisa kisha akaishiwa utunzi.
Mie naona hii barua haikuandikwa na mhanga wa mapenzi hayo kichaa, ila imeandikwa na mtu aliyetaka kufanya mzaha tu. Sababu ni kwamba anaanza vizuri kujieleza halafu inapofika pale pa kuonyesha ukweli wa mambo ulivyokuwa anakorogakoroga bila kueleweka. Hii barua ni mtu alikuwa anatunga kisa kisha akaishiwa utunzi.