Hunk Troy
Member
- Dec 23, 2014
- 11
- 25
PayPal haijaruhusu mtanzania yeyote kupokea pesa. Hii inamaanisha hatuwezi kuuza chochote kupitia mitandao maarufu kama eBay, hatuwezi kufanya kazi za mitandaoni (yaani freelancing) na kujipatia kipato, n.k.
Hivyo basi tumeamua kuishawishi PayPal (kupitia change.org) kuruhusu kila mtanzania mwenye PayPal account aweze kuzipata fursa tajwa.
Kufanikisha lengo hili tafadhali fungua link hapo chini, sign hiyo petition kisha share na wenzako. Wanaigeria waliweza kuishawishi PayPal, na sisi tunaweza.
Tukifanikisha hili watanzania tutakua tumejitengenezea zaidi ya ajira 1000!
https://www.change.org/p/daniel-schulman-tanzanians-need-to-receive-funds-via-paypal
Daniel Schulman: Tanzanians need to receive funds via PayPal
Ahsanteni
Hivyo basi tumeamua kuishawishi PayPal (kupitia change.org) kuruhusu kila mtanzania mwenye PayPal account aweze kuzipata fursa tajwa.
Kufanikisha lengo hili tafadhali fungua link hapo chini, sign hiyo petition kisha share na wenzako. Wanaigeria waliweza kuishawishi PayPal, na sisi tunaweza.
Tukifanikisha hili watanzania tutakua tumejitengenezea zaidi ya ajira 1000!
https://www.change.org/p/daniel-schulman-tanzanians-need-to-receive-funds-via-paypal
Daniel Schulman: Tanzanians need to receive funds via PayPal
Ahsanteni