Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
- Thread starter
- #21
Kwa mwendo huo £80m itakuwa haitoshi manake naamini bei ya Messi tu ni kubwa zaidi ya hiyo hela, huyo 'Kun' atacost labda at least £20m.Kama mm ndo SAF, na miburungutu yangu huyooooo hadi Nou Camp...hodiiii,hawajamaliza kuniitikia..."naomba niitiwe Lionel Messi tafadhali".
Nikitoka hapo moja kwa moja A.Madrid..."namuhitaji kijana mdooogo sergio Aguero".
Hawa wawili ni sawa na C.Ronaldo wanne.