Let's keep the beautiful dark skin God gave us

Let's keep the beautiful dark skin God gave us

Hapo sasa...ila nadhani weupe hauna mushkeli maana hakuna cream za kumfanya mtu mweusi!
Kwahiyo weupe tunajikeep naturally.

So you think you're "white" too, huh? Tanning creams, tanning beds etc are all natural?
 
Kujichubua hakutoisha hata ukamilifu wa dahari. Inferiority complex imetuingia watu weusi hadi rohoni na inazidi kuongezeka kadri muda unavyokwenda.

Siku hizi kuzaa na mzungu ndio dili ili mtoto atoke .5 ndio tunaona mtoto mzuri, in other words, watoto weusi wabaya ila wazungu na .5 ndio wazuri.

Tulishakataa tamaduni zetu na kuiga za mtu mweupe, tumekataa na tunazidi kukataa majina yetu na kukimbilia ya weupe kwa speed, sahizi unakutana na mtu majina yake matatu ni Happy Charles John au abdallah Salim Mohamed tena siku hizi kuna hadi watoto wa waswahili wanaitwa Sean na Beyonce Ni hatari. Nywele zetu tunaona hazina dili tunataka za kama wazungu. Dada zetu na shape za kibantu wanaona hawana soko nao wanataka shape zakizungu ili kwenda na trend iliyopo

Kifupi inferiority complex imetuingia kiasi Cha kuto-reverse tena hivyo kuchibua kutazidi badala ya kupungua ili tuende sawa na wakati


una akili sana mkuu......kwa yoyote mwenye fikra huru atakukubali tu!
 
Hahahaaa ningepasua mkuu tatizo yai langu ni kama la Magufuli!
Kipi bora?Nikae kimya kulinda heshima au kuchekesha jamii?
Wewe ni "white", au light-skinned bantu african negro, na hiyo ni kama hiyo avatar ni picha yako kweli? U ain't white. So stop fooling urself, unless ur so dumb u don't even have a clue what being "white" means.
 
Kuhusu elimu nakataa wapo wadada wengi na wasomi wanajikoboa tena wengine medical personel wanajichubua kama hawajui vile.
 
Wewe ni "white", au light-skinned bantu african negro, na hiyo ni kama hiyo avatar ni picha yako kweli? U ain't white. So stop fooling urself, unless ur so dumb u don't even have a clue what being "white" means.

Lol!Mkuu hujachoka na mimi tu?
Hadi comments zimefutwa lakini bado tu uko na mimi...
Well...mimi ni white,hutaki acha.
 
Jamani kujichubua ni bomu lingine linalosubiri kulipuka.
Sio akina mama,mabinti kwa vikongwe na hata vijana wa kiume nao wanajichubua sana siku hizi.
Hebu zipendeni ngozi zenu jamani!
Watu mmekuwa na mabaka kama chatu,uso na miguu ni vitu viwili tofauti hadi kinyaa!
HAMPENDEZI!
[emoji14]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom