Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ukweli ni kwamba solution ya matatizo yetu ya kijamii kama taifa,
YAPO BEYOND THE PRESENT STATUS QUO.
Nimeona majuzikati hapa kuna forum imeanzishwa kuhusu uchaguzi wa mwaka huu Oktoba, na watu wengi wakaonesha kukubali na kuonesha matumaini kwamba forum itasaidia kwa namna moja au nyingine, blah blah blah blah.
Actually sikutaka kutia neno kule, maana sitaki kunyesha mvua kwenye mkusanyiko ule na kuharibu mood. Lakini lets face it, nothing NEW WILL BE ACHIEVED from such expensive but fruitless effort. Futility is the what we bounded to.
Nimeshaongelea siku za nyuma kwenye ile replica ya Monte Carlo Fallacy kwamba huezi ukafanya jambo lilelile na ukategemea matokeo tofauti (Einstein, karne iliyopita) and you can't gamble and win while we both know the game is ruled with the principle thatTHE HOUSE WINS ALWYS, and the house in this case is a STATUS QUO.
Hivi ni lini tutatoka nje ya hii indoctrination ya siasa na vikorombwezo vyake ambavyo havina warranti wala historia ya kutusaidia?
Naomba nijibiwe hapa.
Kuna wadau wapo optimistic wanategemea labda kwamba kukiwa na mabadiliko ya watu pale kwa ofisi kuu pengine kutakuwa na uhai mpya. This is a fallacy ambayo huhitaji kwenda mbali kujionea kilichojiri.
Tembelea Kenya ujionee kama KUNA JIPYA.
YAPO BEYOND THE PRESENT STATUS QUO.
Nimeona majuzikati hapa kuna forum imeanzishwa kuhusu uchaguzi wa mwaka huu Oktoba, na watu wengi wakaonesha kukubali na kuonesha matumaini kwamba forum itasaidia kwa namna moja au nyingine, blah blah blah blah.
Actually sikutaka kutia neno kule, maana sitaki kunyesha mvua kwenye mkusanyiko ule na kuharibu mood. Lakini lets face it, nothing NEW WILL BE ACHIEVED from such expensive but fruitless effort. Futility is the what we bounded to.
Nimeshaongelea siku za nyuma kwenye ile replica ya Monte Carlo Fallacy kwamba huezi ukafanya jambo lilelile na ukategemea matokeo tofauti (Einstein, karne iliyopita) and you can't gamble and win while we both know the game is ruled with the principle thatTHE HOUSE WINS ALWYS, and the house in this case is a STATUS QUO.
Hivi ni lini tutatoka nje ya hii indoctrination ya siasa na vikorombwezo vyake ambavyo havina warranti wala historia ya kutusaidia?
Naomba nijibiwe hapa.
Kuna wadau wapo optimistic wanategemea labda kwamba kukiwa na mabadiliko ya watu pale kwa ofisi kuu pengine kutakuwa na uhai mpya. This is a fallacy ambayo huhitaji kwenda mbali kujionea kilichojiri.
Tembelea Kenya ujionee kama KUNA JIPYA.